Polisi, Stein Warriors balaa pale juu

TIMU ya kikapu ya Polisi na Stein Warriors zinaendelea kukabana koo katika nafasi mbili za juu za Ligi ya Kikapu ya Daraja la Kwanza inayoendelea katika Uwanja wa Bandari, Kurasini, Dar es Salaam. Katika msimamo wa ligi unaonyesha Polisi inaongoza katika ligi hiyo ikiwa na pointi 26, huku Stein Warriors ikishika nafasi ya pili kwa…

Read More

Askofu Shoo ataka mambo manne kuelekea uchaguzi Mkuu

Moshi. Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo amesisitiza maridhiano, uchaguzi huru na haki na uamuzi wa wananchi katika uchaguzi kuheshimiwa. Mbali na hayo, amewataka polisi kuepuka kutumiwa vibaya na watu wasioitakia mema nchi na Watanzania kupenda nchi yao, wakiwa na hofu ya Mungu ili Tanzania…

Read More

RAIS DKT. SAMIA AIPA HONGERA NSSF

Na MWANDISHI WETU. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa pongezi kwa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) baada ya kuelezwa mafanikio mbalimbali ambayo NSSF imeyapata katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wake. Pongezi hizo zimetolewa tarehe 13 Julai, 2024 wakati alipotembelea banda la NSSF kwenye…

Read More

Mastaa KenGold kikaangoni | Mwanaspoti

WAKATI wadau na mashabiki wa soka nchini wakiitabiria kushuka daraja Ken Gold kutokana na matokeo waliyonayo, uongozi wa timu hiyo umesema unaenda kufanya maamuzi magumu bila kuangalia sura ya mtu. Maamuzi hayo ni kuachana na zaidi ya wachezaji 10 na kuongeza wengine wapya nane kwa ajili ya kuinusuru timu hiyo na aibu ya kushuka daraja…

Read More

Vita ya mabingwa wa CAF yaanza upya!

Achana na Kariakoo Dabi itakayopigwa kuanzia saa 11:00 jioni kwa vigogo Simba na Yanga kuvaana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, saa moja kabla huko Lubumbashi, DR Congo kutakuwa na vita ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya wenyeji TP Mazembe dhidi ya watetezi Al Ahly ya Misri. Baada ya pambano hilo la…

Read More

Usipojipanga BDL utapigwa mapema | Mwanaspoti

LIGI ya kikapu Dar es Salaam kwa wanawake (WBDL), inazidi kuwa tamu na huku ukizubaa tu unapigwa mapema. Baadhi ya timu zimejikuta haziamini kilichowakuta ikiwa ni mzunguko wa 10 umeanza na zilipoteza michezo yao katika ligi hii inayokua kwa kasi. DB Lioness  ilifungwa na Polisi Stars kwa pointi 58-55, Vijana Queens ikafungwa DB Troncatti pointi…

Read More

AACHA TABIA YA UKAHABA MARA BAADA YA KUPATA USHAURI

Sitapenda kutaja jina langu na mahali ninapotokea kutokana na aina ya simulizi yangu, kutokana na ugumu wa maisha nilijikuta nimeingia kwenye biashara ya ukahaba bila mimi mwenye kupenda, nilifanya kazi ile kishingo upande, ni vile tu sikuwa na jinsi. Kiukweli huko nilikumbana na changamoto nyingi, moja wapo ambayo ni kubwa zaidi ni kukamatwa na Polisi…

Read More

Andaeni suti mapema fainali Azam, Yanga

Baada ya kushuhudia Yanga ikichukua ubingwa wa Ligi Kuu Bara na sasa macho ya wapenda soka yapo visiwani Zanzibar kwenye fainali za Kombe la Shirikisho. Yanga ilitinga fainali baada ya kuichapa Ihefu bao 1-0 likifungwa na kiungo mshambuliaji, Stephane Aziz KI katika dakika ya 100 huku Azam ikiingia hatua hiyo baada ya kuitandika Coastal Union…

Read More