Ishu ya Kibwana na Azam ipo hivi

Beki wa Yanga, Shomari Kibwana ni kati ya wachezaji ndani wa kikosi hicho ambao mikataba yao inaishia mwisho wa msimu huu (2023/244), lakini bado hajaanza mazungumzo ampya na viongozi wake. Wakati Yanga ikijivuta kukaa naye mezani, kuna taarifa chini ya kapeti zinaeleza kwamba Azam FC imepeleka ofa ya kuhitaji huduma yake kwa ajili ya msimu…

Read More

Tshabalala awaachia msala wazawa Simba

SIMBA bado kunafukuta. Timu hiyo inapitia kipindi kigumu cha mpito ambacho mambo mengi yametokea na yatatokea lakini wakijipanga vizuri yatapita na wakali hao wa Msimbazi watarejea kwenye ubora na uimara wao kama taasisi imara ya soka. Wakati upepo huo ukiendelea kupita Simba, Mwanaspoti inakudokeza sababu nyingine ambayo imeifanya timu hiyo kukosa uimara. Si nyingine ni…

Read More

Itachukuwa miaka 16, dola bilioni 40 kuijenga tena Gaza

Msaidizi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Abdallah al-Dardari, alisema siku ya Alkhamis (Mei 2) kwamba makisio ya awali ya Mfuko Maendeleo wa Umoja huo yalikuwa yanaonesha kwamba ujezi mpya wa Gaza utapindukia dola bilioni 30 na kwamba unaweza kufikia hadi dola bilioni 40. “Kiwango cha uharibifu ni kikubwa mno na kisichokadirika. Hii ni…

Read More

Serikali kuendesha msako utitiri vyama vya kitaaluma

Arusha. Serikali imeonyesha kukerwa na utitiri wa vyama vya kitaaluma vilivyopo nchini kwa sasa na kuagiza uchunguzi wa kina. Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene akimtaka Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Juma Mkomi kuunda kikosi kazi cha kuchunguza. Simbachawene ameyasema hayo…

Read More

Sababu ya Kibu kugomea mkataba Simba hii hapa

Mwanaspoti linajua kama mambo yataenda yalivyo, wakati wowote Simba inaweza kumpoteza kiungo wao mshambuliaji mpambanaji Kibu Denis Prosper. Ni kama yuko mlangoni kuingia kwa watani wao Yanga. Iko hivi Kibu anamaliza mkataba wake na Simba mwisho wa msimu huu lakini alipoenda mezani kuwasikiliza wekundu hao juu ya ofa yao akagundua kwamba hawajavuka hata nusu ya…

Read More