
ABIRIA ZAIDI YA 1000 WAANZA SAFARI YA TRENI YA SGR DAR ES SALAAM HADI DODOMA
Matukio mbalimbali ya picha za abiria wakiwasili katika Stesheni ya Treni ya Umeme ya Reli ya SGR jijini Dodoma wakati treni hiyo ilipoanza safari yake ya kwanza kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma leo Julai 25, 2024. Na.Alex Sonna-DODOMA SAFARI ya kwanza ya treni ya kisasa ya umeme (SGR) kutoka Dar es Saalam kwenda Dodoma…