Kiongozi na wafuasi 20 wa genge la uhalifu Haiti wauawa – DW – 16.10.2024

Katika taarifa, polisi ya taifa nchini Haiti imesema kamanda wa pili wa genge la Kraze Baryè, anayejulikana kama “Deshommes,” alipigwa risasi huko Torcelle, eneo linalodhibitiwa na genge hilo kusini mashariki mwa mji mkuu Port-au-Prince. Wanachama 20 wa genge la Kraze Baryè nchini Haiti wauawa  Maafisa wa polisi wamesema kuwa wanachama wengine 20 wa genge hilo waliuawa wakati…

Read More

Vita ulaji vyakula vya asili na vya kisasa

Dar es Salaam. Katika miji yenye shughuli nyingi kama Dar es Salaam, Lagos  Nairobi na mingineyo barani Afrika, harufu ya vyakula vya haraka na vilivyosindikwa ( junk foods) inashindana na pengine hata kuzidi   harufu ya vyakula vya jadi vinavyopikwa na wauzaji wa mitaani. Afrika, bara lenye urithi tajiri wa upishi, linashuhudia mabadiliko makubwa ya lishe,  ambayo…

Read More

NCHIMBI ‘AFUNGA’ OFISI ZA CHADEMA ITILIMA

-Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Itilima, Katibu na wanachama wao wahamia CCM. Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, Ndugu Terry Kilugala, na Katibu wake wa Wilaya ya Itilima, Ndugu Gershom Migasa Mipawa, pamoja na wanachama wao zaidi ya 60, wamehamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kupokelewa na Katibu Mkuu wake, Balozi Dkt. Emmanuel…

Read More

RAIS MWINYI: CHINA IMESAIDIA SANA ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema China imekuwa ikiisaidia Zanzibar katika mambo mbalimbali ya maendeleo, ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya hospitali. Rais Dk. Mwinyi Amesifu ukarabati mkubwa wa Hospitali ya Abdalla Mzee Pemba, utoaji wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wafanyakazi wa sekta ya afya, msaada wa vifaa…

Read More

M23, Rais Tshisekedi uso kwa uso Angola Machi 18

Luanda. Mazungumzo yanayolenga kurejesha amani Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kati ya viongozi wa Muungano wa Waasi wa Alliance Fleuve Congo (AFC/M23) na Rais Felix Tshisekedi yatafanyika Machi 18,2025. Taarifa ya kufanyika mazungumzo hayo, ilitolewa na Ikulu ya Angola jana jioni kuwa mazungumzo hayo yatafanyika Jijini Luanda nchini humo ambapo viongozi wa…

Read More

AMANZI NA BABU TALE USO KWA USO JIMBONI

Aliyekuwa Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM Tawi la Chuo Cha Kodi na Mjumbe wa Seneti ya Mkoa wa Dar es Salaam Mwaka 2021/2022, Amechukua na kurudisha fomu ya Kugombea Ubunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki Leo Tarehe 30/06/2025, Amanzi ameingia rasmi Kugombea Jimbo Moja na Mbunge aliyemaliza Muda wake katika Jimbo Hilo…

Read More

Chuo Kikuu Ardhi chapata mwarobaini uhaba wa madarasa

Dar es Salaam. Moja ya kikwazo ambacho Chuo Kikuu Ardhi (ARU) jijini hapa, kinakumbana nacho cha upungufu wa madarasa, kinakwenda kupata ufumbuzi ifikapo Agosti 2025, yatakapokamilika majengo mapya yanayoendelea kujengwa chuoni hapo. Kwa muda mrefu, Chuo Kikuu Ardhi, kama vilivyo vyuo vingine, kimekuwa kikikabiliwa na uhaba wa madarasa, jambo linalosababisha kushindwa kudahili wanafunzi wengi zaidi….

Read More