CSSC YASHEREHEKEA MAFANIKIO YA AWAMU YA PILI YA MRADI WA KUBORESHA MAFUNZO YA FAMASI NCHINI TANZANIA.

KAIMU Mganga Mkuu wa Serikali Ziada Sellah,akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa mwaka pamoja na kusherehekea mafanikio ya Mradi wa kuboresha mafunzo na huduma za famasi nchini (MAP-QPS) awamu ya pili uliokwenda sambamba na uzinduzi wa mifumo ya TEHAMA na ugawaji wa vitabu vya Famasi jijini Dodoma. Mkurugenzi Mtendaji wa CSSC, Peter Maduki,akizungumza wakati wa…

Read More

Azam FC, Namungo mechi ya kisasi

MCHEZO mmoja wa kukamilisha hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho (FA) utapigwa leo kati ya wenyeji, Azam FC itakayoikaribisha Namungo kuanzia sasa 1:00 usiku, mechi itakayopigwa Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam. Mshindi wa mchezo huo ataenda kukutana na Coastal Union iliyoitoa Geita Gold kwa bao 1-0 katika hatua ya…

Read More

EUROPA NA KONFERENSI KUKUPATIA PESA NDEFU LEO

Alhamisi ya Leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na shoka kwenye Europa League na Konferensi league ambapo michezo ya kwanza ya Nusu Fainali itapigwa. Suka mkeka wako sasa na meridianbet. Mechi kali kabisa kwenye EUROPA leo itakuwa ni hii hapa ambayo inawkautanisha kati ya AS Roma dhidi ya Bayer Leverkusen ambao hawajapoteza mechi yoyote kwenye…

Read More

Guede ni habari nyingine Yanga, awapiga bao Mzize, Musonda

Ni kama gari limewaka zaidi kwa mshambuliaji wa Yanga, Joseph Guede ambaye hivi sasa namba zake zinambeba na kumfanya kuwa mchezaji hatari  kwenye kikosi cha timu hiyo kinachonolewa na Kocha Miguel Gamondi. Awali Guede alionekana kuwa na mwanzo mgumu katika kikosi cha kocha Miguel Gamondi lakini kadiri muda ulivyokuwa ukisogea ameonekana kubadili upepo wa mambo…

Read More

Serikali yaanza msako wanaotoa mikopo kausha damu

SERIKALI imeanza kufuatilia watu, vikundi na taasisi zinazotoa kinyume cha sheria mikopo yenye masharti magumu na riba kubwa maarufu kama kausha damu, kwa ajili ya kuwachukulia hatua za kisheria. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Akizungumza bungeni jijini Dodoma, leo tarehe 2 Mei 2024, Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali inachukua hatua hiyo ili kuwalinda…

Read More

Kitita cha matibabu chawaibua madaktari bingwa wa magonjwa ya ndani

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiendelea kufanyia maboresho sekta ya afya ikiwamo kuimarisha matibabu kwa kuweka vitita kwa wagonjwa wanaotibiwa kwa bima, Chama cha Madaktari wa Magonjwa ya Ndani Tanzania (APHYTA) kimeshauri maboresho hayo yasiathiri ubora wa huduma. Ushauri huo umetolewa kutokana na maboresho yaliyofanyika hivi karibuni ya kitita cha matibabu kilicholalamikiwa na baadhi ya…

Read More

NBC yashiriki maadhimisho Mei Mosi Arusha

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imeungana na maelfu ya wafanyakazi kote nchini kusherekea Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, MEI Mosi ambayo kitaifa yamefanyika jijini Arusha yakiongozwa na Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango aliemuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea). Maadhimisho hayo yaliyofanyika jana Jumatano kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid…

Read More