Kimbunga Ialy kusababisha upepo mkali, mvua kubwa Jumanne

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema kimbunga Ialy kinachovuma kaskazini mwa kisiwa cha Madagscar, ambacho awali kilidaiwa kingeishia baharini, kinaendelea kupata nguvu na kinatarajiwa kusababisha mvua kubwa na upepo mkali Tanzania siku ya Jumanne Mei 21, 2024. Taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi leo Jumapili Mei 19,…

Read More

Taoussi apata timu ya Ligi Kuu Morocco

ALIYEKUWA Kocha wa Azam FC, Rachid Taoussi ameajiriwa na Klabu ya Kawbad Athletic Club Of Marrakech (KACM) itakayoshiriki Ligi Kuu Morocco msimu ujao 2025/26. KACM iliyopanda Daraja kucheza Ligi Kuu Morocco msimu ujao, imemtambulisha rasmi kocha Taoussi kwa mkataba wa miaka miwili hadi mwaka 2027. Taoussi ambaye ni raia wa Morocco ni miongoni mwa makocha…

Read More

Waziri Bashungwa aonya makandarasi ‘makanjanja’

Dar es Salaam. Wakati zabuni za zaidi ya Sh840 bilioni za urejeshaji miundombinu iliyoharibiwa na mvua zikitarajiwa kutangazwa na Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), makandarasi ‘makanjanja’ wamekalia kuti kavu. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameziagiza Bodi ya Usajili wa Makandarasi Tanzania (CRB) na Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kuanza kushughulika na kampuni zinazopewa kazi…

Read More

Kibaha na Meridianbet waendeleza ushirikiano

Meridianbet wameendelea kua na ushirikiano na wakazi waKibaha kwani leo tena wamefanikiwa kufika eneo hilo nakutoa msaada kwa wakazi wa hapo. Utamaduni huo kampuni ya Meridianbet wamekua nao miakanenda miaka rudi ambapo leo wamefanikiwa kutoa msaada kwajamii ya watu wa Kibaha kwa mara nyingine ambapo leohawakwenda Hospital, Lakini waligusa makundi mawili ya watumoja ni familia…

Read More

EMEDO YAZINDUA TUZO ZA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU USALAMA MAJINI, WATAALAMU WATAKA TAKWIMU ZA KITAIFA.

 Na Karama Kenyunko – Michuzi TV KATIKA kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Vifo kwa Kuzama Duniani inayofanyika kila Julai 25, Shirika la Environmental Management and Economic Development Organisation (EMEDO) limezindua tuzo maalum kwa ajili ya kutambua mchango wa waandishi wa habari katika kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu usalama wa majini. Uzinduzi huo umeenda sambamba…

Read More