Wiki tatu za jasho Yanga

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC kwa sasa wanaishi kwa kupiga hesabu za vidole kabla ya kutetea ubingwa ambao utakuwa wa 30 tangu kuanzishwa kwa ligi hiyo. Ni wiki tatu za jasho kabla ya Mei 22. Yanga wapo kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo wakiwa na pointi 62 baada ya kucheza mechi 24,…

Read More

Video ya Davido akipiga goti kwa mchepuko yavujishwa,mwenyewe atolea majibu

Wanamuziki wawili maarufu nchini Nigeria, Wizkid na Davido, wamewasha moto mitandao ya kijamii kwa kurushiana maneno, na kuwavutia mashabiki nchini na kote nchini. Ushindani kati ya mastaa hawa wawili wa afrobeat, ambao kila mmoja unaongoza mamilioni ya wafuasi duniani kote, umegawanya wapenda muziki wa Nigeria katika kambi kali: “Team Wizkid” au “Team Davido”. Lakini bado…

Read More

SPOTI DOKTA: Mei mosi na tishio afya za wachezaji

Kila Mei Mosi kwa mwaka inaadhimishwa siku ya kimataifa ya wafanyakazi duniani. Chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa (UN), Tanzania na nchi duniani iliyoazimisha siku hiyo hapo jana. Wadau na wamichezo nao ni sehemu ya maadhimisho hayo ambayo kitaifa yalifanyika jijini Arusha. Sikuya wafanyakazi iliwekwa mahsusi ili kutambua michango ya wafanyakazi duniani na vilevile…

Read More

JIWE LA SIKU: Simba ya Mgunda anakufunga yeyote

Simba imeanza maisha mapya baada ya kocha Abdelhak Benchikha kuondoka kwa ilichoelezwa kuwa ni matatizo ya kifamilia na timu kukabidhiwa kwa Juma Mgunda na Selemani Matola, uamuzi ambao kwa hakika umewapa matumaini makubwa mashabiki kutokana na rekodi za kocha huyo mzawa aliyejipatia sifa kama “mzee wa acha boli litembee.”  Mgunda amerejea kikosini kama kaimu kocha…

Read More