UDSM, DAR City zachuana BDL

Timu ya Dar City na UDSM Outsiders, zinakabana koo katika uongozi wa Ligi ya Kikapu ya Mkoa wa Dar es Salaam (BDL)inayoendelea kwenye Uwanja wa Donbosco, Oysterbay, Dar es Salaam. Timu hizo zilianza kuchuana tangu ligi ilivyoanza Machi 3 mwaka huu.  Mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Dar City,  ndiyo wanaongoza katika kwa pointi 25 kutokana…

Read More

UWT yatoa tamko kauli ya Serikali juu ya watoto njiti

Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania – UWT inayoongozwa Mwenyekiti wake Mary Pius Chatanda imetoa shukrani na pongezi kwa Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kulipa kipaumbele suala la afya hususai mama na mtoto ikiwa ni pamoja na kuboresha mazingira…

Read More

Lusajo: Profesa shabiki wa Simba alinikazia nisijiunge Yanga

Mshambuliaji Reliants Lusajo anajipambanua kuandaa maisha baada ya kustaafu soka, jambo linalomfanya aipe elimu kipaumbele ili kumwezesha kufanya shughuli nyingine kwa urahisi. Katika mahojiano na Mwanaspoti, straika huyo ambaye anasema hupenda kuzurura pindi Ligi Kuu Bara inaposimama na siyo mtu anayepania kusoma isipokuwa ana akili za kuzaliwa akiamua kuweka mkazo katika kitabu, basi hakuna kinachoshindikana….

Read More

Pamba yaanza mabalaa, maandalizi Ligi Kuu Bara 2024\2025

Achana na shangwe la kupanda Ligi Kuu Bara linaloendelea jijini hapa, mabosi wa Pamba Jiji tayari wameshapata pa kuanzia wakati wakipiga hesabu za mambo watakayoanza nayo msimu ujao. Pamba Jiji imerejea Ligi Kuu mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kumaliza katika nafasi ya pili kwenye Ligi ya Championship ikivuna pointi 67 katika mechi 30, nyuma…

Read More

Hii hapa mikakati mipya ya Mgunda Simba

SIKU chache baada ya kurudishwa Simba, kocha Juma Mgunda ametaja mambo matatu yatakayombeba kwenye mechi nane zilizobaki akianza na sare ya mabao 2-2 dhidi ya Namungo ugenini. Mgunda ambaye ni kocha wa zamani wa Coastal Union, amerudishwa akitokea timu ya wanawake Simba Queens kuchukua nafasi ya Abdelhak Benchikha ambaye ameachana na timu hiyo kwa kile…

Read More

Siri Yanga kuwaita mezani Mwamnyeto, Kibwana

Uhaba wa mabeki wazawa wenye uwezo wa juu, uzoefu pamoja na kutokuwa tayari kuwanufaisha wapinzani iwapo wawili hao wataondoka, ni sababu tatu za msingi zilizofanya uongozi wa Yanga kuanza mazungumzo ya haraka na mabeki wake Bakari Mwamnyeto na Kibwana Shomari kwa ajili ya kuwashawishi waongeze mikataba licha ya uwepo wa wachezaji wa nafasi nyingine ambao…

Read More

CSSC YAPONGEZWA KUBORESHA HUDUMA ZA FAMASI NCHINI 

KAIMU Mganga Mkuu wa Serikali Ziada Sellah,akizungumza wakati wa mkutano mkuu wa mwaka pamoja na kusherehekea mafanikio ya Mradi wa kuboresha mafunzo na huduma za famasi nchini (MAP-QPS) awamu ya pili uliokwenda sambamba na uzinduzi wa mifumo ya TEHAMA na ugawaji wa vitabu vya Famasi jijini Dodoma. CSSC YASHEREKEA MAFANIKIO MRADI WA KUBORESHA MAFUNZO NA…

Read More