NBAA YAWANOA WATAHINIWA MITIHANI CPA

  Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendesha warsha kwa njia ya mtandao pamoja na mafunzo ya ana kwa ana kwa wanafunzi wanaotarajia kufanya mitihani ya Bodi, ikilenga kuongeza ufanisi na maandalizi bora kwa watahiniwa wake. Akizungumza wakati wa kufungua warsha hiyo kwa niaba ya  Mkurugenzi Mtendaji, Peter Lyimo, Mkurugenzi…

Read More

Mikoa hii bila mvua kwa siku 10

Dar es Salam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa mwelekeo wa hali ya hewa kwa siku 10 baadhi ya mikoa ikitarajiwa kupata mvua nyepesi, huku mingi zaidi ikitarajiwa kushuhudia hali ya ukavu. Taarifa hiyo ya TMA kwa siku 10 kuanzia leo Alhamisi Agosti 21, 2025 hadi Agosti 31, 2025, inaonyesha mikoa ya Kanda…

Read More

TFS Yaendeleza Mafunzo kwa Wahifadhi

Iringa. Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeendelea kuendesha ziara za mafunzo kwa wahifadhi, kwa lengo la kujengea ujuzi na uelewa wa kushughulikia mashamba ya miti na kuongeza tija katika uzalishaji wa mazao. Wahifadhi 15 kutoka Shamba la Miti Buhigwe – Makere walitembelea Shamba la Miti Sao Hill, wilayani Mufindi, Agosti 20, 2025, kujionea…

Read More

ACT-Wazalendo yamjibu msajili hoja za Monalisa

Dar es Salaam. Sakata la uteuzi wa Luhaga Mpina kuwa mgombea urais wa ACT-Wazalendo limeendelea kushika kasi,  huku  chama hicho kikitoa majibu kwa Msajili wa Vyama vya Siasa kufuatia malalamiko yaliyowasilishwa na Naibu Mwenezi wa chama hicho Mkoa wa Dar es Salaam, Monalisa Ndala anayepinga uteuzi huo. Monalisa aliwasilisha malalamiko hayo Agosti 19, 2025 Ofisi…

Read More

Malijendi wakoshwa na kiwango CHAN

MASHINDANO ya msimu huu ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN 2024) yametajwa kuwa bora zaidi kiushindani na wajumbe wa masuala ya kiufundi ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF TSG) na yameonyesha maendeleo makubwa kuliko yaliyopita. Wajumbe hao, akiwemo Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Ethiopia, Abraham Mebratu na mchezaji wa…

Read More

Profesa Mbarawa ataka tafiti zilete tija sekta ya usafirishaji

Dar es Salaam. Ili kuongeza ufanisi wa utoaji huduna katika sekta ya usafiri, Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa ametaka tafiti zinazolenga kuleta suluhisho katika sekta husika, zitafsiriwe ili kuchochea matokeo chanya. Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi Agosti 21, 2025 wakati akifungua mkutano wa tatu wa kimataifa wa usafiri na usafirishaji uliofanyika jijini hapa na…

Read More