Dk Mwinyi : Sera ya nishati kukuza utafiti, teknolojia na uvumbuzi Zanzibar

Unguja. Wakati ikizinduliwa sera ya nishati, imetajwa kukuza uwekezaji katika utafiti, teknolojia na uvumbuzi kwenye maeneo ya nishati safi, matumizi bora na teknolojia za kisasa zinazopunguza gharama na kuongeza ufanisi. Hayo yamebainishwa leo Septemba 11, 2025 na Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi wakati wa kuzindua sera hiyo Unguja Zanzibar. Amesema sera hiyo inahamasisha matumizi…

Read More

Dproz yaja na jukwaa kuwasogezea vijana fursa za ajira

Dar es Salaam. Taasisi isiyo ya kiserikali ya Dproz imekuja na suluhisho la ajira kwa vijana kwa kuweka mfumo maalumu utakaowawezesha kupata taarifa kwenye soko la ajira nchini. Akizungumza mkurugenzi wa jukwaa la kidigitali la Dproz linalounganisha vipaji na nafasi za kazi nchini, Iddy Magohe amesema kufuatia changamoto hiyo ya ajira, wao wamekuja na suluhu….

Read More

RC SENYAMULE AHIMIZA WAFANYABIASHARA KUSHIRIKI KONGAMANO LA USHIRIKA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule,,amewataka wafanya biashara kujitokeza kushiriki kongamano la kitaifa la wanaushirika,litakalolenga kujadili fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta ya kilimo na ushirika. Kongamano hilo limepangwa kufanyika Aprili 29 Mwaka huu katika ukumbi wa Jakaya Kikwete uliopo mkoani humo ,huku viongozi mbalimbali wakitarajia kushiriki katika kongamano…

Read More

Madhara  wanandoa kufichana wosia | Mwananchi

Mwanza. Katika maisha ya ndoa, mawasiliano ya wazi, uaminifu, na mipango ya baadaye ni nguzo muhimu zinazosaidia kuimarisha uhusiano.  Moja ya maeneo yanayohitaji uelewano mkubwa baina ya wanandoa ni kuhusu masuala ya mali na urithi.  Ingawa mara nyingi watu hukwepa au kuogopa kuzungumzia suala la wosia, kwa madai ya mtu kujichuria kifo, ni jambo la…

Read More

Simba Day, Kwa Mkapa yageuka gulio

SIMBA hawana jambo dogo, achana na nyomi la watu waliokuwa wanaingia uwanjani kushuhudia timu hiyo ikiadhimisha kilele cha siku ya Simba Day lakini uwanjani hapo ni kama pamegeuka gulio. Leo Simba inaadhimisha Tamasha la Simba Day ambayo imepewa jina la Ubaya Ubwela ikiambatana na burudani ya mechi ya kirafiki kati ya Simba na APR ya…

Read More

Timu za Umoja wa Mataifa zinaunga mkono chanjo ya kipindupindu katika kambi za kaskazini mashariki – Global Issues

Mlipuko wa kipindupindu uligunduliwa katika kambi hiyo mapema Oktoba na baadaye kuthibitishwa na vipimo vya maabara. Kwa sababu Al Hol haina kituo maalum cha matibabu ya kuhara kwa majimaji makali, ni muhimu kwamba watu wengi wapatiwe chanjo haraka iwezekanavyo, Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa, UNICEFanasisitiza. “Kwa mara ya kwanza tulipokea chanjo ya kipindupindu…

Read More