Wadau wajadili utekelezaji maboresho ya mitaala na sera ya elimu

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiendelea kukabiliana na changamoto za upungufu wa miundombinu na walimu ili kuhakikisha utekelezaji wa mitaala iliyoboreshwa unafanikiwa, wadau wa sekta ya elimu nchini wamehimizwa kushirikiana na Serikali katika kuimarisha sekta hiyo. Wito huo umetolewa leo Jumatano, Machi 25, 2026 jijini Dar es Salaam na Makamu wa Rais, Dk Emmanuel Nchimbi…

Read More

Wazazi wanaoshawishi wanafunzi darasa la saba kufanya vibaya waonywa

Shinyanga. Katibu Tawala Msaidizi Elimu na Mafunzo ya Ufundi Mkoa wa Shinyanga, Mwalimu Samson Allute Hango, amewaonya wazazi wanaoshawishi wanafunzi kufanya vibaya katika mitihani yao ya mwisho, huku akiwapa matumaini wanafunzi kuwa mtihani utakuwa ndani ya yale waliofundishwa. Akizungumza na waandishi wa habari leo, Septemba 9, 2025, wakati akitoa taarifa ya wanafunzi watakaofanya mtihani wa…

Read More

ALIYEDAIWA KUJIFANYA ASKARI POLISI ANASWA

…………… Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata mtu mmoja anayesadikika kujifanya askari wa Jeshi la Polisi katika eneo la Kariakoo, Wilaya ya Ilala. Kamanda wa Jeshi hilo Muliro Muliro amesema hayo jijini Dar es salaam amesema Tukio hilo limetokea Septemba 11, 2025, wakati askari waliokuwa doria walipomtilia mashaka mtu huyo na kufuatilia…

Read More

12 mbaroni tuhuma za kujeruhi, kupora Sh20 milioni Same

Same. Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu 12 kwa tuhuma za kumjeruhi na kumpora Sh20 milioni, mwenyekiti mstaafu wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Yusto Mapande. Tukio la kujeruhiwa kwa mwenyekiti huyo lilitokea Agosti 21, 2025 wakati akingia nyumbani kwake baada ya kutoka kwenye shughuli zake za biashara. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon…

Read More

Programu ya AI yawasaidia wanafunzi wa sayansi Dodoma

Dodoma. Katika kuunga mkono juhudi za Serikali za kuimarisha sekta ya elimu nchini, hususan katika masomo ya sayansi na teknolojia, kituo cha Tanzania School of CommunityNetworkskimeanzisha programu maalumu ya kuwasaidia wanafunzi wa masomo ya sayansi kujifunza kwa kutumia teknolojia ya akili unde (AI). Programu hiyo inatekelezwa katika kituo kilichopo Nzuguni, jijini Dodoma ikiwa na lengo…

Read More

Yalipo mabao dabi ya Azam vs Yanga

AZAM na Yanga zinakutana tena uwanjani Jumapili hii Machi 15, 2026 katika msako wa pointi tatu ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kupita kipindi cha takribani siku 61 tangu zilipotoana jasho kwenye fainali ya Kombe la Mapinduzi 2026. Ndani ya siku 61 ambazo timu hizo tangu mara ya mwisho zikutane, kuna mambo mengi hapo…

Read More

Sh800 bilioni zitakavyomaliza tatizo la umeme Zanzibar

Unguja. Huenda mwarobaini wa kata, washa ya umeme, ikapatikana baada ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuwekeza Sh800 bilioni katika miundombinu hiyo. Zanzibar inapokea umeme kupitia waya za baharini kutoka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Kwa upande wa Unguja, zipo waya mbili, moja ya megawati 45 iliyowekwa mwaka 1980 na imeshatumika hadi kufikia asilimia…

Read More

Kilosa yataja mikakati matumizi ya nishati safi ya kupikia, mikakati zaidi inakuja Morogoro

Morogoro. Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro ni miongoni mwa maeneo yanayokabiliwa na uharibifu mkubwa wa misitu unaochochewa na biashara ya kuni na mkaa. Nishati hii, inayotumika kwa wingi katika kupikia, husafirishwa kutoka Kilosa kwenda kuuzwa kwenye miji na majiji mbalimbali nchini. Agosti 6 mwaka huu, mwandishi wa makala haya alizungumza na Mkuu wa Wilaya ya…

Read More