Uuzaji kemikali kiholela janga mtaani

Dar es Salaam. Katika mitaa ya Jiji la Dar es Salaam, uuzaji wa kemikali unafanyika pasipo kufuata taratibu za usajili, hivyo kuchochea madhara ya kiafya na kimazingira. Kemikali hizi ni zile zinatumika kutengeneza bidhaa kama vile sabuni, batiki na dawa za kuondoa madoa kwenye nguo. Mwananchi katika ufuatiliaji kwenye baadhi ya maeneo jijini hapa limezungumza…

Read More

SMAUJATA yamuunga mkono RC Mtaka kupambana na ukatili Njombe

Kutokana na vitendo vya ukatilia vinavyoendelea kukithiri nchini Jumuiya ya Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii Taifa (SMAUJATA) imewataka Watanzania kuwa na moyo wa ustahimilivu wanapokutwa na changamoto mbalimbali badala ya kuchukua maamuzi yanayoweza kuigharimu jamii katika maisha. Wito huo umetolewa na mkurugenzi wa uenezi,vijana na michezo wa Jumuiya hiyo Ndugu Johnson Mgimba hii…

Read More

HAKIELIMU YAZINDUA RIPOTI YA UTAFITI KUHUSU HALI YA UPATIKANAJI WA ELIMU BORA KWA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAKAZI DUNI NA YASIYO RASMI, MIJINI

NA EMMANUEL MBATILO, DODOMA SHIRIKA linalojihusisha na Elimu Tanzania, HakiElimu limezindua ripoti ya Utafiti kuhusu hali ya upatikanaji wa elimu bora kwa watoto wanaoishi katika Makazi duni na yasiyo rasmi, Mijini ambayo inakwenda kusaidia kuboresha elimu kwa watoto wenye makazi duni. Utafiti huo wa HakiElimu umefanywa kwa kushirikiana na Kituo cha Utafiti wa Idadi ya…

Read More

Sudan Kusini inakabiliwa na mzozo wa kibinadamu unaoongezeka, inaonya WHO – Masuala ya Ulimwenguni

Shirika la afya la Umoja wa Mataifa lilisisitiza kuwa machafuko ya kibinadamu, kiuchumi, kijamii na kisiasa ambayo yalianza na vita vya kikatili vya wenyewe kwa wenyewe mwaka 2013 yamezidishwa na wimbi la hivi karibuni la wakimbizi kutoka Sudan kufuatia vita kati ya wanamgambo wanaohasimiana huko. zaidi ya watu 650,000 waliowasili tangu Aprili 2023. Hivi sasa,…

Read More