CWT yawafedhehesha walimu Songwe | Mwananchi

Songwe. Zaidi ya walimu 5,000 ambao ni wanachama wa Chama cha Walimu (CWT) Mkoa wa Songwe, wameulalamikia uongozi wa chama hicho Taifa kwa kushindwa kuwanunulia fulana kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya  Wafanyakazi duniani (Mei Mosi) ambayo kimkoa yamefanyika wilayani Ileje. Wakizungumza na Mwananchi Digital leo Mei Mosi, 2024 wakati wa maadhimisho hayo, baadhi…

Read More

Barrick yaendeleza rekodi ya ushindi wa juu wa jumla tuzo za Wiki ya Usalama na afya Mahali pa kazi (OSHA)

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi (wa pili kushoto) na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais ,Mary Maganga (wa pili kulia) wakikabidhi tuzo ya ushindi wa Jumla kwa wafanyakazi wa Barrick (kutoka kushoto) ni Hassan Kallegeya Safety Coordinator (Bulyanhulu) na kulia ni Aristides Medard (Specialist Occupational…

Read More

Blinken akutana na Netanyahu kujadili vita vya Gaza – DW – 01.05.2024

Blinken amelitaka pia kundi la Hamas kukubali pendekezo la usitishwaji mapigano lililowasilishwa hivi karibuni na Israel. Blinken amekutana kwa mazungumzo na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na kumsisitizia kuhusu suala zima la kuruhusu kuingizwa misaada zaidi ya kibinaadamu katika ukanda wa Gaza, lakini akamdhihirishia pia msimamo wa Marekani wa kupinga  operesheni ya kijeshi ya Israel…

Read More

Chadema yahitimisha maandamano, hoja nne zikitawala

Dar es Salaam. Chadema imemaliza ngwe ya pili ya maandamano mikoani wakiibua mambo manne, likiwamo suala la Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ugumu wa maisha, Tume ya Uchaguzi na Katiba mpya. Maandamano ya sasa ni matokeo ya Azimio la Mtwara lililofikiwa katika mkutano wa Kamati Kuu ya Chadema iliyoketi Machi, 2024 mkoani Mtwara na kuazimia…

Read More

Waasi wa Kihouthi wajizolea umaarufu – DW – 01.05.2024

Hata hivyo, sera zake ziko mbali na utawala bora zikizidisha hali ya mbaya ya kibinadamu na mzozo wa kiuchumi nchini Yemen wakati ikiendeleza mashambulizi katika Bahari ya Shamu.  Soma pia: Waasi wa Houthi wasema wanalenga meli za Magharibi katika bahari ya Shamu Baada ya utulivu wa mashambulizi kwa takriban wiki mbili, wanamgambo wa Houthi nchini Yemen…

Read More

Mikoa mitano kupata mvua kuanzia Mei 3 hadi 6

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imebaini uwepo wa mgandamizo mdogo wa hewa ambao utachangia uwepo wa mvua kubwa na upepo katika mikoa mitano nchini. Mikoa inayotarajiwa kupata mvua hizo ni Mtwara, Lindi, Pwani, Morogoro, Dar es Salaam na maeneo ya jirani. Taarifa hiyo imetolewa na TMA leo Mei mosi, 2024…

Read More

WAFANYAKAZI NISHATI KATIKA KILELE CHA MEI MOSI DODOMA

Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati wameshiriki maandamano ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani tarehe 01 Mei, 2024. Maandamano hayo yalianzia katika viwanja vya Bunge na kuhitimishwa katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma. Maadhimisho hayo maarufu kama Mei Mosi kwa Mwaka 2024 yamebebwa na Kaulimbiu ya *”Nyongeza ya mishahara ni msingi wa mafao bora na…

Read More

MEI MOSI 2024; Kikokotoo kufanyiwa uchambuzi, nyongeza mishahara kutangazwa karibuni

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Serikali imesema imepokea hoja ya wafanyakazi kuhusu kubadilisha kikokotoo na kuahidi kukifanyia uchambuzi zaidi. Aidha imesema itaendelea kuhuhisha viwango vya mishahara kwa kuzingatia uwezo wa kiuchumi na kibajeti pamoja na ujuzi wa utendaji wa waajiriwa. Hakikisho hilo limetolewa leo Mei Mosi,2024 na Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango, wakati wa…

Read More