CCM Simiyu yakemea wajawazito kudaiwa fedha huduma za afya

Na Samwel Mwanga, Itilima MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohammed amehaidi kulivalia njuga suala la baadhi ya wahudumu wa Afya katika Wilaya ya Itilima mkoani humo wanaodaiwa kuwatoza fedha wanawake wajawazito ili waweze kupata kadi ya mahudhurio yao ya kiliniki. Pia, amesema Sera ya Taifa ya Afya inataka huduma za afya…

Read More

Michoro ya kale Kondoa kuvuta watalii

Dodoma. Maadhimisho ya Siku ya Urithi wa Dunia kwa Afrika kesho Mei 5, 2024 kuwaleta watalii wa ndani na  nje kwenye michoro ya mapangoni iliyopo Kijiji cha Kolo, Kondoa Irangi mkoani hapa. Michoro hiyo ambayo ni Urithi wa Utamaduni na Malikale imetangazwa na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (Unesco) kuwa moja…

Read More

Mapya yaibuka Soko la Kariakoo, Samia ang’aka

Dar es Salaam. Wakati Soko la Kimataifa la Kariakoo jijini Dar es Salaam likitarajia kuanza tena kutoa huduma, Rais Samia Suluhu Hassan amesema moto ulioliteketeza, ulikuwa ni kupoteza ushahidi kutokana na ufujaji wa fedha. Mbali na hilo, amebainisha ukwepaji kodi unaofanywa na wafanyabiashara akitolea mfano walichobaini kwenye jengo la ghorofa lililoporomoka Novemba 16, 2024 Kariakoo…

Read More

CCM YAENDELEA KUPASUA VYAMA VYA UPINZANI.

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi kupitia jimbo la Vunjo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, Liberat Mchau ametimkia Chama cha Mapinduzi na kupokelewa na Katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro, Mercy Mollel katika mkutano wa Chama jimbo la Vunjo. Mchau alisema kuwa, lengo la kutimkia CCM ni baada ya kuridhishwa na utendaji kazi wa Serikali ya…

Read More

Mahakama Korea Kusini yatoa hati Rais Yoon akamatwe

Seoul. Mahakama mjini Seoul nchini Korea Kusini imetoa hati ya kukamatwa kwa aliyekuwa Rais wa taifa hilo, Yoon Suk Yeol ambaye aling’oka madarakani Desemba 3, 2024. Rais Yoon aling’oka madarakani siku chache baada ya kutangaza amri ya taifa hilo kuongozwa chini ya utawala wa Sheria ya Kijeshi (Martial Law) uamuzi ambao ulipingwa vikali na wananchi…

Read More

Piga Mzigo wa Maana na Meridianbet Leo

LEO hii siku ya Jumanne ni bahati yako ya wewe kuondoka na kitita cha pesa nyingi kwa dau lako la uhakika. Ingia mzigoni na usuke jamvi lako la ushindi hapa sasa. Ligi kuu ya Uingereza, EPL leo hii kuna mechi za kukupatia mkwanja wa maana ambapo Brighton baada ya kushinda mechi yake iliyopita, leo hii…

Read More

UMD yaahidi ‘mgodi wa machungwa’ Muheza

Dar/Tanga. Chama cha Union Multiparty Democracy (UMD) kimeahidi kuwa endapo kitapewa dhamana ya kuongoza nchi, kitatekeleza mradi wa ‘mgodi’ wa machungwa katika Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga, ili kuwanufaisha wananchi wa eneo hilo kupitia kilimo cha zao hilo. Aidha, chama hicho kimeahidi kuondoa adha ya upungufu wa maji kwa wananchi kwa kuwajengea visima katika kila…

Read More

Ugonjwa usiojulikana waikumba DRC, WHO yaanza uchunguzi

Congo DRC. Ugonjwa usiojulikana umeikumba nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) huku ukisababisha watu zaidi ya 30 kupoteza maisha hasa watoto walio chini ya miaka mitano. Shirika la Afya Duniani (WHO) limetuma wataalamu wake nchini humo kusaidia kuchunguza ugonjwa huo mpya usioeleweka ambao una dalili za homa, maumivu ya kichwa, kikohozi, mafua na…

Read More