Mashambulizi ya Drone yenye Silaha kwenye Juhudi za Misaada ya Kibinadamu Yaweka Mustakabali Hatarini – Masuala ya Ulimwenguni

Ndege zisizo na rubani za Israel zililenga msaada wa Jiko Kuu la Ulimwenguni na kuua msafara saba wa misaada katika Ukanda wa Gaza na kuua wafanyakazi saba wa kutoa misaada. Credit: Shirika la Habari la Tasnim na Ed Holt (bratislava) Jumanne, Januari 14, 2025 Inter Press Service BRATISLAVA, Jan 14 (IPS) – Operesheni za misaada…

Read More

Kikosi Yanga chamkosha kipa Tabora United

KIPA wa Tabora United, John Noble amesema Yanga ilistahili kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, akitaja sababu ni ubora na ilikuwa na kikosi cha wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kuamua matokeo. Noble amesema Yanga imekuwa imara kila idara kuanzia kipa, mabeki, viungo na washambuliaji, jambo analoona limeinufanikisha kuchukua ubingwa huo. “Mfano kipa wa…

Read More

Mbunge aliyetaka pasipoti kuingia Zanzibaar azua jipya

Dodoma. Mbunge wa Konde (ACT-Wazalendo), Mohamed Said Issa aliyetaka wananchi wa Tanzania Bara (Watanganyika) waingie Zanzibar kwa pasipoti, amezua lingine la ubaguzi akikataa taarifa tatu za kumtambua yeye ni Mtanzania. Hayo yametokea bungeni leo Mei 15, 2024 wakati wa mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mambo ya Ndani kwa mwaka wa…

Read More

Wananchi Sengerema wataka ujenzi wa vivuko uharakishwe

Mwanza. Wananchi katika Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wameiomba Serikali kuharakisha malipo ya ujenzi wa vivuko vya Kome III na Kivuko cha Buyangu Mbalika ili vikamilike na kutoa huduma kwa wananchi. Kauli hiyo imetolewa leo Ijumaa Julai 12, 2024 baada ya viongozi na wananchi waliotembelea maendeleo ya ujenzi wa vivuko vinavyotengenezwa na Kampuni ya Songoro…

Read More

Mbowe amtaka Samia kuunda tume utekaji watu 200

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan kutumia mamlaka yake kwa mujibu sheria ya uchunguzi mahsusi kuunda tume ya kimahakama ya majaji kuchunguza tuhuma za utekaji wa watu zaidi ya 200 ambao wengi wao wanadaiwa kutekwa na vyombo vya dola. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…

Read More

Singano ataja ugumu wa Mexico

BEKI wa FC Juarez inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini Mexico, Julietha Singano amesema ugumu wa ligi hiyo unamfanya aonyeshe jitihada zaidi. Huu ni msimu wa tatu mfululizo kwa beki huyo wa timu ya taifa ‘Twiga Stars’ kuichezea timu hiyo akifanikiwa kuingia kwenye kikosi cha kwanza moja kwa moja mbele ya nyota kibao kutoka mataifa…

Read More

Bodaboda waanzishiwa kampeni ya kuepuka ajali

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Barabarani, kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, limezindua kampeni ya kitaifa ijulikanayo kama “Chuma kwa Chuma Sio Poa”, yenye lengo la kuhamasisha usalama barabarani na kuhimiza waendesha bodaboda na bajaji kuzingatia sheria ili kupunguza ajali za barabarani nchini. Ajali za barabarani bado zinabaki kuwa changamoto kubwa,…

Read More

Nondo alivyosaidiwa na bodaboda, polisi yasema

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi Tanzania limesema Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa chama cha ACT Wazalendo, Abdul Nondo alitelekezwa maeneo ya fukwe za Coco, Kindondoni jijini Dar es Salaam na watu asiowafahamu. “Baada ya kutelekezwa katika eneo hilo, Nondo alisimamisha bodaboda na kumwelekeza amfikishe katika ofisi za chama chake zilizopo Magomeni, Jijini Dar…

Read More