
Wakazi wa Malinyi waiomba Serikali kuboresha miundombinu ya barabara ili kufikia masoko ya mazao yao
Farida Mangube, Morogoro . Wakazi wa Wilaya ya Malinyi mkoani Morogoro wameiomba serikali kuboresha miundombinu ya barabara ikiwemo madaraja ili kuwawezesha kufikia masoko kwa urahisi na kuuza mazao yao kwa bei ya soko. Wakazi hao, ambao wengi wao ni wakulima wa mazao ya biashara na chakula wanasema kukosekana kwa barabara za uhakika kumeendelea kuwafanya wategemee…