UDSM yashiriki warsha ya STEM (Sayansi, Teknolojia, Uhandisi, na Hisabati)na kufanya ziara ya kiwanda cha umeme

Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar Es Salaam, wameshiriki warsha ya STEM (Sayansi, Teknolojia, Uhandisi, na Hisabati) ya kukuza taaluma na kufanya ziara ya kiwanda cha umeme iliyoratibiwa na GE Vernova kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Tukio hili lilifanyika katika mazingira ya Chuo Kikuu cha…

Read More

NIONAVYO: Soka la kununua bila kuuza halina tija

SHIRIKISHO la Soka Ulaya (UEFA) lina sheria na taratibu za kuhakikisha kuna nidhamu ya mapato na matumizi miongoni mwa nchi wanachama wake ikiwa ni pamoja na klabu. Lengo la utaratibu huu siyo tu kuondoa ‘fedha chafu’ kwenye soka, pia kuhakikisha kuna utamaduni unaofanana katika matumizi ya fedha bila kujali klabu kubwa na ndogo. Katika utaratibu…

Read More

Jamii za Quilombola Zinaishi Kwa Hofu Kwa Sababu Sheria Zinazostahili Kuwalinda Zinapuuzwa — Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Jumatano, Desemba 04, 2024 Inter Press Service Des 04 (IPS) – CIVICUS inajadili vitisho kwa usalama, haki na ardhi ya mababu wa jumuiya za quilombola nchini Brazili na Wellington Gabriel de Jesus dos Santos, kiongozi na mwanaharakati wa jumuiya ya Pitanga dos Palmares Quilombola katika jimbo la Bahia. Ilianzishwa na Waafrika waliokuwa watumwa…

Read More

Kesi ya Malisa kizungumkuti, yakutwa haijasajiliwa

Moshi. Kesi ya uchochezi inayomkabili Mwanaharakati na Mkurugenzi wa GH Foundation, Godlisten Malisa imezua sintofahamu baada ya kufika mahakamani leo, Julai 18, 2024 mkoani Kilimanjaro na kukuta kesi hiyo bado haijasajiliwa. Malisa akiongozana na mawakili wake watatu kati ya saba, wakiwamo Dickson Matata, Hekima Mwasipu na Peter Kidumbuo, walifika mahakamani hapo saa tatu asubuhi kama…

Read More

Ripoti ya CAG yabaini upungufu katika usimamizi wa data za elimujiolojia nchini

Ripoti ya ukaguzi wa utendaji kuhusu usimamizi wa data za kielimujiolojia katika sekta ya madini nchini imebaini mapungufu makubwa katika ukusanyaji, uchambuzi, uhifadhi na usambazaji wa taarifa hizo muhimu. Hali hiyo imeelezwa kuwa inahatarisha juhudi za Serikali za kuvutia wawekezaji na kufanikisha malengo ya Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2021/22–2025/26. Ripoti hiyo…

Read More

Kukwama katikati? Mataifa ya deni ya njama ya ukuaji wa uchumi huku kukiwa na machafuko ya biashara ya ulimwengu – maswala ya ulimwengu

Mkutano wa kiwango cha juu cha nchi zenye kipato cha kati (MICs), uliofanyika tarehe 28 na 29 Aprili, ulihudhuriwa na wawakilishi wakuu kutoka kwa MIC 24, ambazo nyingi zina deni kubwa, na kuwaacha nafasi ndogo ya kutumia kukuza uchumi wao. Tangu 2000, ni nchi 27 tu zilizobadilishwa kutoka mapato ya kati hadi hali ya kipato…

Read More