Miili 36 ya ajali ya Same ilivyoagwa KCMC

Moshi. Ni siku iliyojaa huzuni na majonzi wakati familia za watu 36 kati ya 42 zikiaga miili ya wapendwa wao waliofariki dunia katika ajali ya magari mawili ya abiria wilayani Same, mkoani Kilimanjaro. Shughuli ya kuaga miili hiyo imefanyika leo Alhamisi Julai 3, 2025 kwenye viwanja vya Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC)…

Read More

Aliyekuwa DED Bunda, wengine 11 kizimbani kesi ya uhujumu uchumi

Musoma. Watumishi tisa wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara, akiwamo aliyekuwa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo, Amos Kusaja na wafanyabiashara watatu wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma wakikabiliwa na mashtaka ya uhujumu uchumi na kuisababishia Serikali hasara ya zaidi ya Sh205.7 milioni. Washtakiwa hao wamesomewa jumla ya mashataka 38 katika kesi hiyo namba…

Read More

Kaya 902 zaachwa bila makazi Moshi

Moshi. Zaidi ya kaya 902 zimebainika kuathiriwa na mafuriko ya mvua wilayani Moshi, Mkoani Kilimanjaro baada ya kufanyika kwa tathmini ya awali. Mafuriko hayo yalitokea juzi Alhamisi Aprili 25, 2024 baada ya kunyesha kwa mvua kubwa na kusababisha vifo vya watu saba wakiwemo wanne wa familia moja. Hayo yamesemwa leo Jumamosi Aprili 27, 2024 na…

Read More

Manabii Tanzania wamkana Kiboko ya Wachawi

Dar es Salaam. Baraza la Mitume na Manabii Tanzania (Bacct) limesema halimtambui Mchungaji, Dominique Dibwe maarufu Nabii Kiboko ya Wachawi na kueleza kuwa si mwanachama wao. Pia limesema walipojaribu kumtafuta kwa simu baada ya taarifa za kanisa lake la Christian Life kufungwa na Serikali, waliambiwa na watu wake wa karibu kuwa amekwishaondoka nchini. Kiboko ya wachawi ambaye ni…

Read More

Tendwa kuzikwa Dar Desemba 20

Dar es Salaam. Mwili wa John Tendwa, aliyewahi kuwa Msajili wa Vyama vya Siasa nchini utazikwa Desemba 20, 2024 katika makaburi ya Kondo, Tegeta jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mtoto wa marehemu, William Tendwa maombolezo yanaendelea nyumbani kwao Kibamba Hospitali. Akizungumza na Mwananchi leo Desemba 18, William amesema mwili wa baba yake utaagwa…

Read More

Rais Samia alivunja Bunge rasmi

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kulivunja rasmi Bunge Agosti 3, mwaka huu, kutoa nafasi ya uteuzi wa wagombea wa nafasi hiyo. Taarifa ya kuvunjwa kwa Bunge inatolewa katika kipindi ambacho, vyama mbalimbali vya siasa nchini, vipo kwenye hatua za michakato ya ndani ya kuwapata wagombea wa ubunge, urais na udiwani. Hata hivyo,…

Read More

Dakika 15 Nyongeza zilivyoamua mbabe BDL

Wakati BDL ikishika kasi mchezo kati ya KIUT na Chui ulilazimika kurudiwa mara tatu baada ya awali kufungana pointi 57-57 katika robo zote nne za mchezo. Hali ya sare iliendelea pia hata zilipoongezwa dakika tano za nyongeza kwani timu hizo zilifungana 11-11, na kuongezwa dakika tano zingine na kushuhudia sare ya 10-10. Kutokana na hali…

Read More