
Pamba yasimamisha Jiji, yapokelewa kishujaa Mwanza
Mwanza. USIPIME! Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na mapokezi makubwa iliyoyapata Pamba Jiji leo baada ya kupanda daraja kwenda Ligi Kuu Bara mwishoni mwa wiki iliyopita ikivunja mwiko wa miaka 23 tangu iliposhuka daraja mwaka 2001. Msafara wa timu hiyo uliokuwa umebeba wachezaji, benchi la ufundi na baadhi ya viongozi uliokuwa unatokea Arusha kupitia mkoani Shinyanga…