WAFANYAKAZI WASHAURIWA KUWEKEZA KABLA YA KUSTAAFU

Na. Josephine Majura, WF, Mwanza Watumishi wa Umma na Sekta Binafsi wameshauriwa kujifunza kuhusu uwekezaji mapema ili kuhakikisha kuwa baada ya kustaafu wanaendelea kuishi maisha mazuri, kama walivyokuwa kazini. Ushauri huo umetolewa na Afisa Masoko Mwandamizi, Kampuni ya Uwekezaji ya UTT – AMIS, Bw. Rahim Mwanga, wakati wa mafunzo ya elimu ya fedha yaliyotolewa kwa…

Read More

Bima ambayo hulipa kila wakati – maswala ya ulimwengu

Kulima kusonga kifusi huko Hatay Uturuki baada ya tetemeko la ardhi. Mikopo: Çağlar Oskay, Unsplash na Maximilian Malawista (New York) Jumatatu, Juni 16, 2025 Huduma ya waandishi wa habari New YORK, Jun 16 (IPS) – Mafuriko, matetemeko ya ardhi, na ukame yanagonga pochi za ulimwengu ngumu kuliko wakati mwingine wowote katika historia. Kulingana na Ripoti…

Read More

Nchi za Visiwa Vidogo Zinadai Mahakama ya Kimataifa Iangalie Zaidi ya Mikataba ya Hali ya Hewa kwa Haki – Masuala ya Ulimwenguni

Cynthia Houniuhi, mkuu wa Wanafunzi wa Kisiwa cha Pasifiki Wanaopambana na Mabadiliko ya Tabianchi katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki mjini The Hague. Mkopo: IPS na Cecilia Russell (hague & johannesburg) Jumatatu, Desemba 02, 2024 Inter Press Service THE HAGUE & JOHANNESBURG, Des 02 (IPS) – Nchi zinazokabiliwa na migogoro iliyopo kutokana na mabadiliko ya…

Read More

VIKUNDI VYA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA VIJISAJILI WEZESHA PORTAL

  Afisa Uwezeshaji kutoka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi kiuchumi, Bw. Omar Bakari, akitoa elimu ya usajili wa vikundi vya huduma ndogo za fedha iliyofanyika katika moja ya darasa la Shule ya Msingi Kipeta, Wilaya ya Sumbawanga Vijijini, mkoani Rukwa. Afisa Uwezeshaji kutoka Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Bw. Omar Bakari, akitoa…

Read More

Prisons kunani? Manahodha wachomolewa! | Mwanaspoti

KUNANI Tanzania Prisons? Licha ya kuletwa kocha mpya, Aman Josiah habari ya kushtua ni kuona wakongwe wa timu hiyo wakiondolewa. Habari ambazo Mwanaspoti limepenyezewa ni uongozi wa juu katika Jeshi la Magereza (Kitengo cha Michezo) limewachomoa manahodha wao, beki wa kulia Salim Kimenya na kiraka Jumanne Elfadhili kuendelea kuitumikia timu hiyo na kuhamishiwa katika majukumu…

Read More

SIMULIZI YA HADITHI: Jana dume -5

LIPOISHIA…Akanyamaza kidogo kisha akaniuliza.“Tukutane saa ngapi?”“Kama saa kumi jioni hivi.”Ningeweza kukutana naye wakati wowote lakini niliona nimtajie tu muda huo ili aone nilikuwa mtu wa mipango. “SAA kumi nikukute mimi au utanikuta wewe?” Akaniuliza baada ya kimya kifupi.“Vyovyote itakavyokuwa. Kama utawahi wewe kufika utanisubiri. Kama nitawahi mimi nitakusubiri.”“Ahadi za kizungu nitaziweza wapi?” Nilikuwa nikijisemea kimoyomoyo…

Read More

Mahdi afichua siri Kiluvya United

KOCHA wa Kiluvya United, Zulkifri Iddi ‘Mahdi’ amesema moja ya malengo ya timu hiyo kwa sasa ni kuendelea kusalia msimu ujao wa Ligi ya Championship, baada ya kuona nafasi waliyopo ni finyu ya kupigania nafasi nne za juu kama walivyotaka. Akizungumza na Mwanaspoti, ‘Mahdi’ alisema kwa sasa hawana njia nyingine ya kuipigania timu hiyo zaidi…

Read More