CHAN 2024: CAF yazuia wapigaji Uganda

WAKATI timu ya taifa ya Uganda Cranes ikijiandaa kwa mechi ya nusu fainali ya CHAN 2024 dhidi ya Senegal, Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limechukua hatua ya kupunguza idadi ya tiketi ambazo shabiki anaweza kununua mtandaoni. Hadi sasa, kila shabiki ataruhusiwa kununua tiketi tatu tu, kutoka tano zilizokuwa zikiruhusiwa awali. Taarifa hiyo imetolewa na Dennis…

Read More

RC SENDIGA AWEKA JIWE LA MSINGI SOKO LA MADINI MIRERANI

Na Mwandishi wetu, Mirerani MKUU wa mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amemuagiza mkandarasi aliyejenga soko la madini ya vito Tanzanite Trading centre mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro kukamilisha mradi huo kwa wakati. Sendiga ameyasema hayo wakati akiweka jiwe la msingi la jengo la sakafu tano la soko la madini ya vito linalojengwa na shirika…

Read More

MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA HABARI NA UTANGAZAJI KANDA YA MASHARIKI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

#MAKINIKIA:  Asubuhi ya leo jijini Dar es Salaam umeanza mkutano muhimu wa wadau wa sekta ya habari na utangazaji wa Kanda ya Mashariki kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Mkutano huu unafanyika katika ukumbi wa PSSSF Commercial Complex, ukiwa na mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi. Washiriki ni wakuu wa polisi,…

Read More

RAIS WA TANZANIA DKT SAMIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU CCM

::::::::: Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa,kilichoketi leo Agosti 21,2025 Jijini Dodoma kwa ajili ya kufanya uteuzi wa Wagombea Ubunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Wabunge wa Viti Maalum,Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar…

Read More

Wakulima 5,000 kunufaika na mradi wa kilimo rafiki Geita

Geita. Zaidi ya wakulima 5,000 kutoka katika kata tatu za Butundwe, Kagu na Nyawanzaja zilizopo Wilaya ya Geita mkoani Geita wanatarajia kunufaika na kilimo rafiki kitakachowasaidia kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi na kuvuna mazao mengi zaidi. Wakulima hao watajengewa uwezo wa namna ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi kwa kupatiwa mbegu bora zinazostahimili ukame, pamoja…

Read More

Ahofiwa kufariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi mgodini

Bunda. Mtu mmoja anahofiwa kufariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi katika shimo linalotumika kuchimba dhahabu katika mgodi wa Kinyambwiga, eneo la Walwa lililopo Wilaya ya Bunda mkoani Mara. Mtu huyo aliyetambulika kwa jina la Juma Lutalamura, mkazi wa Katoro mkoani Geita ambaye ni fundi, amekumbwa na tukio hilo akiwa anafanya matengenezo ya shimo hilo….

Read More