EWURA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

  MWEYEKITI   wa Wanawake wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya Tanzania (TUGHE) Tawi la EWURA, Herieth Kasilima, akiwaongoza baadhi ya Wafanyakazi Wanawake wa EWURA  waliojitokeza katika maadhimisho ya  kilele cha Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika   ngazi ya Mkoa wilayani Kongwa ,mkoani Dodoma leo Machi 8,2026 wakipita mbele ya mgeni rasmi wa maadhimisho…

Read More

Mwihambi kurejesha majeshi Mtibwa Sugar

BEKI wa kati, Vedastus Mwihambi yupo mbioni kurejea Mtibwa Sugar, baada ya mkataba wake na Tanzania Prisons kumalizika, ambapo mazungumzo baina ya pande zote mbili yapo katika hatua nzuri zaidi. Nyota huyo anarejea Mtibwa Sugar ikiwa ni misimu miwili imepita tangu aondoke ndani ya kikosi hicho msimu wa 2022-23 na kujiunga na Ihefu ambayo kwa…

Read More

Hukumu rufaa kesi ya Nyundo na wenzake kusomwa leo

‎Dodoma. Hukumu ya kesi ya rufaa waliyoikata Nyundo na wenzake watatu ya kupinga kifungo cha maisha gerezani inatarajiwa kutolewa kesho Septemba 25, 2025 kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma. ‎Nyundo na wenzake watatu walihukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma kuwakuta na hatia kwenye mashtaka yaliyokuwa yanawakabili ya kubaka kwa…

Read More

Bali kortin akidaiwa kughushi wosia, akana shtaka

Dar es Salaam. Mkazi wa Pangani mkoani Tanga, Hamisi Bali amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja ya kughushi wosia. Bali amesomewa shtaka hilo leo Agosti 28, 2025 na wakili wa Serikali, Tumaini Mafuru, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Hassan Makube Akimsomewa shtaka, wakili Mafuru amesema Bali anadaiwa kutenda kosa hilo Februari…

Read More

Metacha, Al Hilal wang’ara tuzo za CECAFA Kagame Cup

KIPA wa Singida Black Stars,  Metacha Mnata ameibuka kipa bora wa mashindano ya Kombe Kagame (Kagame Cup) yaliyofikia tamati jana Septemba 15, 2025 jijini Dar es Salaam. Mbali na Metacha, timu ya Al Hilal ya Sudan imetwaa tuzo ya ‘fair play’ katika mashindano hayo, tuzo waliyobidhiwa na mwakilishi kutoka Times FM, katika hafla ya utoaji…

Read More

Biashara mtandao kurasmishwa Zanzibar | Mwananchi

Unguja. Serikali imesema inatambua umuhimu wa ukuaji wa biashara mtandaoni kama chachu ya maendeleo ya uchumi, upanuzi wa masoko na uongezaji wa ajira. Imesema kwa ufahamu huo, ndiyo sababu imechukua hatua za kimkakati kuhakikisha biashara hizo zinatambulika rasmi na kupewa mazingira bora ya kustawi. Miongoni mwa hatua zilizochukuliwa ni kutungwa kwa Sera ya Biashara ya…

Read More

Kachwele aanza na kishindo Marekani

MSHAMBULIAJI wa Kitanzania, Cyprian Kachwele anayekipiga Whitecaps FC 2 amesema amekuwa na wakati mzuri tangu alipotoka kwenye kipindi cha kuuguza majeraha ya nyama za paja mwezi Juni mwaka huu. Kinda huyo wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ aliyewahi kupita timu ya vijana ya Azam FC, huu ni msimu wake wa pili Marekani na uliopita akiwa…

Read More

JKT Queens yatinga nusu fainali kibabe

JKT Queens jioni ya leo Alhamisi imetinga nusu fainali ya michuano ya CECAFA Wanawake ya kuwania Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuitandika Yei Joints ya Sudan mabao 2-0 kwenyw Uwanja wa Kasarani, Nairobi Kenya. JKT inaungana na Rayon Sports ya Rwanda, wenyeji Police Bullets ya Kenya na Kampala Queens ya Uganda zilizofuzu mapema, huku…

Read More

Yanga yapiga 120, ikimpiga mtu 2-1

YANGA imecheza mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu dhidi ya Fountain Gate ikishinda kwa mabao 2-1. Mchezo huo umepigwa leo katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam katika kupima pumzi ya wachezaji na katika hilo kocha wa Yanga, Romain Folz akawataka Fountain Gate kucheza kwa dakika 120. Akili ya Folz ni kutaka kupima vifua…

Read More