Simbu amaliza wa pili mbio za Kolkata India

MWANARIADHA maarufu nchini, Alphonce Simbu, ameendelea kuonyesha kiwango cha juu kimataifa baada ya kumaliza nafasi ya pili katika mbio za Kolkata zilizofanyika leo Jumapili huko India. Katika mbio hizo za kilomita 25, Simbu alitumia saa 1:11:56 kumaliza wa pili nyuma ya Joshua Cheptegei wa Uganda aliyeshinda kwa saa 1:11:49, huku ushindani ukiwa mkali kati ya…

Read More

Bodi ya Ithibati rasmi kuanza kutoa vitambulisho kwa waandishi wa habari

Dar es Salaam. Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa habari imetangaza kuanza rasmi  kutoa kitambulisho cha ithibati  kwa waandishi kuanzia leo, huku ikionya wadanganyifu ambao hawajasomea fani hiyo.  Hayo yamesemwa leo Jumatatu Mei 19,2025 na Mwenyekiti wa bodi hiyo,Tido Mhando alipozungunza na waandishi wa habari kuhusu hatua iliyofikia bodi hiyo katika utoaji ithibati. Mhando ambaye…

Read More

Aliyempinga Mpina afukuzwa ACT Wazalendo

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimemvua uanachama kada wake Monalisa Ndala ambaye hivi karibuni aliibuka kupinga uteuzi wa mgombea urais wa chama hicho Luhaga Mpina. Monalisa amevuliwa uanachama na Kikao cha Kamati ya Uongozi wa chama hicho tawi la Mafifi, kilichofanyika Agosti 28, 2025 Kata ya Kihesa, Manispaa ya Iringa. Kwa mujibu wa…

Read More

Kinachoendelea sasa viongozi, marais wakiwasili

Dar es Salaam. Marais wa nchi 19 na wakuu wa Serikali kadhaa tayari wamewasili nchini, kwa ajili ya mkutano wa nishati barani Afrika unaohitimisha leo jijini hapa. Nchi ambazo marais wake tayari wamewasili Dar es Salaam kwa ajili ya mkutano huo ni Madagascar, Lesotho, Visiwa vya Comoro, Guinea Bissau, Botswana, Malawi, Burundi, Mauritania, Ghana, Ethiopia, Jamhuri…

Read More

WIZARA YA FEDHA YASHIRIKI KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

  Wizara ya Fedha imeungana na Watanzania wengine kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, iliyofanyika kitaifa Jijini Arusha, ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza maadhimisho hayo yakiwa yamebeba kauli mbiu ya ‘’Wanawake na Wasichana 2025: Tuimarishe Haki, Usawa na Uwezeshaji’’. Baadhi ya watumishi wanawake wa Wizara…

Read More

Moto jengo la Tanesco ulivyodhibitiwa

Lindi. Jengo la Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco ) Mkoa wa Lindi limeungua moto leo huku chanzo chake bado hakijajulika. Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kukamilika kwa kazi ya kuzima moto huo, Mrakibu Msaidizi wa Zimamoto na Uokoaji ambaye pia ni Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto Mkoa wa Lindi, Joseph Mwasabeja amesema…

Read More

Kipa KenGold mikwara mingi Bara

KIPA wa Ken Gold, Castory Mhagama amesema wanaoibeza timu hiyo kwa kutokuwa na wachezaji wengi wenye uzoefu, wasubiri kwani ligi ndio imeanza na matokeo yatazungumza. Mhagama anayecheza kwa mara ya kwanza Ligi Kuu, amekuwa na rekodi ya kipekee baada ya kuipandisha timu hiyo ya mkoani Mbeya akiipa ubingwa wa Championship msimu uliopita. Kipa huyo ndiye…

Read More

Mbarawa aelekeza huduma za chakula, vinywaji ziongezwe SGR

Dar es Salaam. Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa amelitaka Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuongeza urahisi wa upatikanaji wa huduma za chakula na vinywaji, ikiwa ni sehemu ya kuongeza ajira na kuchochea ukuaji wa uchumi kupitia mradi wa reli ya kisasa (SGR). Katika kutekeleza hilo, amesisitiza ni muhimu shirika hilo kuhakikisha linashirikiana na sekta…

Read More

WAZIRI MAVUNDE AELEZA UMUHIMU WA MADINI BONANZA

*Dodoma* Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde ameeleza kuhusu umuhimu wa Madini Bonanza na kueleza kuwa limelenga kuimarisha umoja, mshikamano na ushirikiano baina ya Watumishi wa Wizara na Taasisi zake ili kuifanya Wizara kuwa familia moja. Amesema hayo leo Oktoba 19, 2024 katika Viwanja vya Shule ya Sekondari John Merlin – Miyuji jijini Dodoma, wakati…

Read More