DEBLINKZ WAMEKUJA TENA NA BABY NA FIRE

DEBLINKZ ni wasanii wawili walioamua kuungana pamoja na kutengeneza kundi la muziki kutoka nchini Nigeria wakiwa wanafahamika kwa majina halisi kama Onyekachi na Onyebuchi Ikeh kutoka jimbo la Anambra, wawili hao wakubwa wa Kiafrika walianza safari yao ya kikazi mwaka wa 2006.  Wakianzisha lebo yao wenyewe, C-unit Management, ambayo zamani ilijulikana kama DEBLINKZ, wawili hao…

Read More

Kituo cha uwekezaji kuzinduliwa Arusha, Julai

Arusha. Serikali inatarajia kuzindua Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) katika Mkoa wa Arusha kufikia Julai Mosi, 2024 ili kuondoa urasimu wanaokumbana nao wawekezaji. Kauli hiyo imetolewa leo Jumanne Apili 30, 2024 jijini Arusha na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo wakati akizungumza kwenye kongamanao la uwekezaji kwenye sekta ya…

Read More

RAIS SAMIA ARIDHIA UJENZI WA BARABARA YA KM 41 KUTOKA KIBADA -MWASONGA -KIMBIJI-WAZIRI BASHUNGWA

Serikali inazifungua barabara zote zilizoathiriwa na mvua za El-Nino ambazo zimeendelea kunyesha kwa muda mrefu katika maeneo mbalimbali kote nchini na kuleta uharibifu wa miundombinu ya barabara. Licha ya uharibifu unaotokea Wizara ya Ujenzi kupitia Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) kupitia kitengo cha dharura imekuwa ikirudisha mawasiliano kwenye maeneo ambayo mawasiliano yamekatika kutokana na uharibifu….

Read More

Wazir Jr kinara wa ufungaji KMC FC ajiunga Meridianbet

    MUITE Wazir Jr ‘The King of CCM Kirumba’, kwa sasa anakipiga KMC FC inayodhaminiwa na kampuni namba moja kwa michezo ya ubashiri na kasino ya Mtandaoni– Meridianbet, wameungana na kufanya jambo kwa jamii anayoishi kijana huyu maeneo ya Kinyerezi-Tabata. Wazir Jr ikumbukwe kuwa ndiye mchezaji kinara wa upachikaji wa magoli kwa klabu ya…

Read More

Tshisekedi asema simu za kiganjani zina damu ya Wakongo – DW – 30.04.2024

Nchi zilizoendelea kiviwanda ‘lazima ziweke shinikizo kwa [mashirika ya kimataifa] kukomesha biashara haramu. … Simu za kiganjani mlizo nazo hapa katika nchi zenu zina damu ya Wakongo.’ Ndivyo alivyosema Félix Tshisekedi, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), katika mahojiano maalum na DW mjini Berlin. Tshisekedi alisema ‘‘Rwanda imegundua kuwa kuna madini katika Jamhuri…

Read More