Josiah: Mashujaa tuko nao, kipa mzuka mwingi

WAKATI Tanzania Prisons ikiendelea kujifua kwa ajili ya mwendelezo wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Aman Josiah amesema kikosi chake kipo tayari na Mashujaa wajiandae kisaikolojia kuacha pointi tatu. Prisons inatarajia kushuka uwanjani Februari 6, kuikaribisha Mashujaa kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya ukiwa ni wa mzunguko wa pili wa ligi hiyo…

Read More

Mkutano wa Nishati Dar, mjini kweupe

Dar es Salaam. Ukienda mjini leo, unaweza kuhisi ni sikukuu au mwisho wa juma (weekend), baada ya barabara kufungwa kutokana na ugeni wa marais na viongozi mbalimbali wanaoshiriki mkutano wa kimataifa wa Nishati unaoanza leo, Januari 27, 2025 jijini Dar es Salaam. Ilivyozoeleka siku ya Jumatatu katikati ya mji, kuna mishemishe na purukushani za hapa…

Read More

Baresi avunja ukimya, apanga mkakati Mlandege

SIKU moja baada ya kutua Mlandege, kocha wa Abdallah Mohamed ‘Baresi’ amesema wana kazi kubwa ya kufanya kuipambania timu hiyo kufanya vizuri kimataifa. Baresi amejiunga na timu hiyo akiwa kocha huru baada ya kuachana na Mashujaa inayoshiriki Ligi Kuu Bara, akizungumza na Mwanaspoti alisema anayo furaha kujiunga na timu hiyo, lakini ana kazi kubwa ya…

Read More

Uhamiaji yafungua Ligi Kuu Zanzibar kwa rekodi mbili

LIGI Kuu Zanzibar msimu wa 2025-2026 imeanza leo kwa kufanyika mchezo mmoja huku ikishuhudiwa Uhamiaji ikiweka rekodi mbili. Mechi hiyo iliyofanyika kwenye Uwanja wa Mao A uliopo Unguja, Uhamiaji imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Polisi. Rekodi ya kwanza Uhamiaji imeiweka kupitia mchezaji wake, Mohamed Mussa kufunga bao la kwanza la msimu akifanya…

Read More

Barabara ya Mbagala Rangi Tatu-Kongowe kuanza upanuzi

Dar es Salaam. Huenda kilio cha muda mrefu cha watumiaji wa barabara ya Kilwa, kipande cha Mbagala Rangi Tatu hadi Kongowe, kikatamatika baada ya mkandarasi kuanza kupeleka wataalamu na vifaa eneo hilo tayari kuanza kazi. Kipande hicho cha urefu wa kilometa 3.8 kinatarajiwa kutumia siku 450, sawa na miezi 15, hadi kukamilika kwake na kitakabidhiwa…

Read More

Mpango wa Israeli wa kuchukua udhibiti kamili wa Gaza lazima uache sasa, anasema Mkuu wa Haki za UN – Maswala ya Ulimwenguni

“Uchukuaji kamili wa kijeshi wa kamba iliyochukuliwa ya Gaza lazima isimamishwe mara moja,” alisisitiza Volker Türk, Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu, baada ya Baraza la Mawaziri la Usalama la Israeli kupitisha mpango wa kuchukua kwa jeshi kamili la jeshi la Israeli katika eneo lililoshambuliwa. Maendeleo yanaenda kinyume na sheria za kimataifa, Bwana Türk aliendelea,…

Read More