Yanga, Mzize hesabu na heshima

KATIKA kile kinachoendelea kati ya mshambuliaji wa Yanga, Clement Mzize kuhusishwa ama kutakiwa na klabu mbalimbali Afrika na Ulaya, viongozi wa timu hiyo ya wananchi hao wanapaswa kuwa makini juu ya jambo hilo. Mzize kwa siku za hivi karibuni amekuwa akihitajika na klabu za Wydad AC ya Morocco na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini ambazo…

Read More

Mkalama yatangaza mkakati wa kupambana na Homa ya Nyani

  MKUU wa wilaya ya Mkalama, Moses Machali amewataka Wakuu wa Idara, Watumishi wa Afya, Watendaji Kata na Vijiji pamoja na Maafisa Tarafa wilayani Mkalama kutoa elimu kwa wananchi namna ya kujilinda na ugonjwa wa Homa ya Nyani maarufu kama Mpox. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida … (endelea). Wito huo ameutoa leo tarehe 5 Septemba, 2024…

Read More

Azam FC yashtukia kitu kwa Nizar

WAKATI ikielezwa kuwa, Yanga iko katika mazungumzo na nyota wa JKU, Abubakar Nizar Othman, mabosi wa Azam FC wameweka wazi nyota huyo ni mali yao na hauzwi, hivyo wanaomtaka wasahau kuhusiana na hilo na mwishoni wa msimu huu watamrudisha. Ipo Hivi. Mara baada ya mechi ya fainali ya Kombe la Muungano, iliyopigwa kwenye Uwanja wa…

Read More

TANZANIA, MFANO WA KUENDELEZA WACHIMBAJI WADOGO

  Na Wizara ya Madini    Sekta ya Madini ni moja ya nguzo muhimu za uchumi wa Tanzania. Pamoja na mchango mkubwa unaotolewa na Migodi mikubwa inayomilikiwa na Kampuni za ndani na nje ya Taifa sambamba na zile za ubia baina ya Serikali na kampuni za kigeni. Wachimbaji Wadogo wa Madini nchini bado ni tija…

Read More