Bashungwa amsweka ndani mkandarasi daraja Mpijichini

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Waziri wa Ujenzi, Inocent Bashungwa ameagiza kukamatwa kwa mkandarasi anayejenga Daraja la Mpijichini lililopo Wilaya ya Kinondoni kutokana na kuchelewesha kazi. Mkandarasi huyo Panjianguang wa Kampuni ya China Railway Seventh Group (CRSG), anadaiwa kuchelewesha ujenzi wa daraja hilo lenye urefu wa mita 140 na barabara unganishi kilomita 2.3. Akizungumza leo…

Read More

Wasichana wapewa mbinu kumudu masomo ya sayansi

Unguja. Wakati masomo ya sayansi yakitajwa kuwa magumu hususani kwa wanafunzi wa kike, imeelezwa ni rahisi zaidi kwa sababu yanahitaji kujua tu kanuni na si kukariri. Kutokana na hilo, wasichana wametiwa moyo kupenda masomo ya sayansi. Hayo yamebainika wakati wa kufunga mafunzo na mashindano ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) kwa wasichana yaliyoandaliwa na…

Read More

Gamondi: Pacome atacheza | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameibuka na kusema kiungo wake, Pacome Zouzoua yupo tayari kuanza kucheza na kesho Jumatano kuna uwezekano akampa nafasi, lakini itategemea na mazoezi ya mwisho leo jioni. Kauli ya Gamondi imekuja wakati kesho Yanga ikiwa na mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya Tabora United utakaochezwa…

Read More

Wizara ya Madini kuwezesha wachimbaji wanawake, vijana

Dodoma. Wakati Wizara ya Madini imekuja na programu ya ‘madini ni mwanga kesho’ (MBT) kwa vijana na wanawake, pia imeliomba Bunge kuridhia bajeti ya Sh231.9 bilioni. Hayo yamesemwa leo Jumanne, Aprili 30, 2024 na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde wakati akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2024/2025. Mavunde amelieleza Bunge…

Read More

Bashungwa aagiza kukamatwa kwa mkandarasi anayejenga daraja la Mpiji chini – Dar

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amemuagiza Kamanda wa Polisi Wilaya ya Kinondoni (OCD), Mohamed Senkondo, kumshikilia Meneja Mradi wa Kampuni ya China Railway Seventh Group (CRSG), anayetekeleza ujenzi Daraja la Mpiji Chini (mita 140) pamoja na barabara unganishi (km 2.3), ahojiwe ili kuanza kuchukuliwa hatua kwa kuchelewa kuanza ujenzi wa daraja hilo na barabara unganishi….

Read More