Ahukumiwa kunyongwa kwa mauaji gesti

Arusha. Elia Wekwe ametiwa hatiani na Mahakama na kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua Kulwa James katika nyumba ya kulala wageni. Mauaji hayo yalifanyika Desemba 28, 2023 katika eneo la Unyanyembe, wilayani Maswa, Mkoa wa Simiyu. Kwa mujibu wa ushahidi uliowasilishwa mahakamani, Elia aliwasiliana na Kulwa (marehemu) wakakubaliana kwenda kufanya mapenzi na kwamba atampa Sh50,…

Read More

DKT. MWAMBA ATETA NA UJUMBE KUTOKA EU

Na. Joseph Mahumi na Chedaiwe Msuya, WF, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Timu ya Wataalamu kutoka Shirika la Umoja wa Ulaya iliyoongozwa na Mkuu wa Ushirikiano wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Bw. Marc Stalmans, katika ukumbi wa Mikutano wa Katibu Mkuu, jijini Dodoma….

Read More

Kaya zaidi ya 700 Muheza zaunganishwa na majiko banifu

Muheza. Zaidi ya kaya 700 ikiwemo maeneo ya biashara katika Kijiji cha Mlesa kilichopo Wilaya ya Muheza mkoani Tanga zimeunganishwa na teknolojia ya matumizi ya majiko banifu. Majiko hayo yanayotumia kuni chache, yamewezesha wananchi wa kijiji hicho na vijiji vingine vya jirani wanaozunguka Hifadhi ya Mazingira Asili ya Amani, kulinda rasilimali za msitu kwa kupunguza…

Read More

Uhamishaji huongezeka mara mbili wakati ufadhili unapungua, unaonya UNHCR – maswala ya ulimwengu

Mnamo Desemba mwaka jana, kupindua kwa serikali ya Assad na vikosi vya upinzaji kulitawala tumaini kwamba Washami wengi waliweza kuona nyumbani tena hivi karibuni. Mnamo Mei, wakimbizi 500,000 na watu milioni 1.2 waliohamishwa ndani (IDPs) walirudi katika maeneo yao ya asili. Lakini hiyo sio sababu pekee ya Syria sio shida kubwa zaidi ya kuhamishwa ulimwenguni….

Read More

Tuungane pamoja tuimalize Morocco | Mwanaspoti

LEO ndiyo leo na asemaye kesho muongo, maana timu yetu ya taifa ‘Taifa Stars’ inaweza kuandika historia ya kibabe kwenye mashindano ya CHAN au safari yake ikaishia kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa itakapokabiliana na Morocco. Na kwa vile ni robo fainali, maana yake timu itakayopoteza itaaga rasmi mashindano hayo yanayoshirikisha wachezaji wanaocheza ligi za ndani…

Read More

Salum Mwalimu aahidi kufufua kilimo cha pamba

Bunda. Mgombea urais wa Chama cha Chaumma, Salum Mwalimu ameahidi kufufua kilimo cha pamba na kukiunganisha moja kwa moja na viwanda, ili kuongeza thamani ya zao hilo na kuwanufaisha wakulima, endapo atachaguliwa kuongoza dola katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu. Akizungumza leo, Septemba 11, 2025, katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa…

Read More