Othman afanya mazungumzo ya amani kuelekea uchaguzi mkuu

Unguja. Makamu wa Kwanza wa Rais, Othman Masoud Othman, amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Jumuiya ya Maimamu Zanzibar (Jumaza), ikiwa ni mwendelezo wa kuhamasisha amani nchini kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Mazungumzo hayo yaliyofanyika leo, Septemba 7, 2025, ukumbi wa Jamat-Khan Mkunazini, Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, yameonesha Othman akisisitiza kwamba…

Read More

Baresi awaonya mastaa Kagame Cup 2025

WAKATI bingwa wa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege akiwa na kibarua kizito kesho Jumamosi cha kucheza dhidi ya APR ya Rwanda katika michuano ya Kagame, kocha wa kikosi hicho, Abdallah Mohamed ‘Baresi’ amewataka wachezaji kutofanya makosa kama ilivyokuwa dhidi ya KMC. Baresi alisema mechi ya kwanza dhidi ya KMC waliyopoteza kwa mabao 3-2 imetoa somo kwa…

Read More

Namna uchumi wa familia usivyofundishwa shuleni

Shule nyingi hazimuandai mwanafunzi katika eneo la elimu kuhusu fedha. Shule chache ambazo hutoa elimu ya fedha hufanya hivyo kwa mtazamo wa jumla. Kuna maarifa muhimu ya uchumi wa familia ambayo mara nyingi hayajumuishwi kwenye mitalaa rasmi. Maarifa haya ni muhimu kwa kila mtu ili kujenga msingi mzuri wa usimamizi wa fedha binafsi na kuhakikisha…

Read More

Samatta awachonganisha mashabiki, viongozi PAOK

Miezi minne kabla ya mkataba wake na PAOK kumalizika, mshambuliaji Mbwana Samatta ameanza kuichonganisha timu hiyo na mashabiki wake. Moto ambao ameanza kuuwasha katika mechi za hivi karibuni, unaweza kubadilisha mawazo ya timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Ugiriki tofauti na ilivyokuwa mwanzoni mwa msimu. Kabla ya msimu kuanza, Samatta alikuwa ni miongoni mwa wachezaji…

Read More

Samia awataja wakulima akiahidi kongani za viwanda

Mbalizi.  Leo ikiwa ni siku ya nane tangu kuzinduliwa kwa kampeni za uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano Oktoba 29, 2025, mgombea wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameendelea kutoa ahadi kwa wananchi endapo watamchagua. Katika maeneo yote aliyopita, mgombea huyo amekuwa akitoa ahadi zinazolenga kuchochea maendeleo na ustawi wao hasa katika huduma…

Read More