Marekani yakhofia mauaji ya kimbari Darfur – DW – 30.04.2024

Marekani imezitaka nchi zote zinazopeleka silaha kwa pande mbili zinazopambana katika vita nchini Sudan kusitisha hatua hiyo.Marekani imeonya kwamba historia inajirudia katika jimbo la Darfur,Magharibi mwa Sudan ambako yaliwahi kushuhudiwa mauaji ya halaiki miaka 20 iliyopita.  Kikao cha dharura cha baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Sudan kilikuwa cha faragha na balozi wa…

Read More

Kahawa kuuzwa kwa ‘bajaji’ kukuza soko

Dodoma. Katika kuongeza masoko ya kahawa inayozalishwa nchini, Serikali imebuni na kutengeneza migahawa inayotembea kwa kutumia pikipiki za miguu mitatu kwa ajili ya kuuza kahawa katika maeneo mbalimbali ya umma na kwenye mikusanyiko ya watu. Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde amesema leo Jumanne Aprili 30, 2024 wakati wa kujibu swali la msingi la Mbunge…

Read More

MIILI MITANO ILIYOSOMBWA NA MAFURIKO MOSHI YAAGWA.

NA WILLIUM PAUL, MOSHI.  MIILI mitano kati ya saba iliyosombwa na mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali katika kata ya Kimochi na Mbokomu wilaya ya Moshi imeagwa leo katika viwanja vya KDC. Mafuriko hayo yaliyotokea usiku wa kuamkia Aprili 25 mwaka huu ambapo katika miili hiyo marehemu wanne ni wa familia moja akiwamo…

Read More

Serikali kuunda timu tatu kuelekea Afcon 2027

Dodoma. Serikali ina mpango wa kuunda timu tatu imara za soka za Taifa kulingana na umri ambazo zitashiriki mashindano ya Afcon 2027 na mengine ambayo nchi itashiriki. Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma amesema hayo leo Jumatatu Aprili 30, 2024 alipojibu maswali ya nyongeza ya Mbunge wa Jimbo la Magomeni, Mwanakhamis Kassim…

Read More

Wahitimu UDSM Five Class 2007 wanajambo lao

Na Mzandishi Wetu, Mtanzania Digital Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ( UDSM) five Class 2007 wanatarajia kukutana jijini Dar es Salaam kubadilishana mawazo na kushirikishana fursa mbalimbali za maendeleo. Akizungumza na Mtanzania Digital leo Aprili 30,2024 jijini Dar es Salaam, Kiongozi wa wahitimu hao, Frank Gwaluma amesema kikao hicho kitafanyika The Deck…

Read More

Jamii yaombwa kusaidia matibabu watoto wenye mtindio wa ubongo

Dar es Salaam. Wananchi, mashirika ya umma na binafsi wameombwa kuchangia kampeni kuwasaidia watoto wenye mtindio wa ubongo walio chini ya uangalizi wa Hospitali ya CCBRT. Hatua hiyo inaelezwa itasaidia kuleta mabadiliko kwa watoto chini ya miaka mitano wenye mtindio wa ubongo. Imeelezwa kuna changamoto ya vifaatiba kwa ajili ya matibabu ya watoto hao hospitalini…

Read More

Wafanyakazi Manyara walia na kikotoo, mshahara mdogo.

Na John Walter -Manyara Wafanyakazi wameiomba serikali kushughulikia changamoto waliyonayo kwa muda mrefu juu ya kikokotoo cha mafao pindi wanapostaafu. Akizungumza katika maadhimisho ya Meimosi yaliyoandaliwa na shirikisho la vyama la Wafanyakazi (TUCTA) mkoa wa Manyara yaliyofanyika April 29,2024 uwanja wa Tanzanite Kwaraa mjini Babati , Katibu wa TUICO mkoa wa Manyara Juma Makanyaga amesema…

Read More

Samasoti baharini inayolipa vijana mkwanja wa maana

MAKACHU ni mchezo unaochezwa sana maeneo ya Forodhani, Zanzibar katika Bahari ya Hindi, kwa wachezaji kujirusha umbali mrefu kutoka nchi kavu hadi majini. Lakini, nyuma ya mchezo huo kuna makanja wa maana tu ambao wanaingiza vijana wanaocheza makachu, kwani kwa wastani kila siku huingiza takriban Sh50,000 ambapo kwa mwezi ni zaidi ya Sh1.5 milioni. Kwa…

Read More