Petroli, Dizeli zashuka bei, Ewura yatoa mwongozo

Dar es Salaam. Wamiliki wa vyombo vya moto wanaendelea kufurahia kupungua kwa bei ya mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa, baada ya bei za mafuta yanayoingia nchini Tanzania kupitia bandari mbalimbali kutangazwa kushuka kuanzia leo Jumatano, Desemba 4, 2024. Taarifa ya Mamlaka ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura)…

Read More

Wakulima waelezwa athari kununua karafuu kwa vishoka

Pemba. Wakulima wa karafuu Kisiwani Pemba, wametakiwa kutouza karafuu zao kwa watu wanaopita mitaani kwani jambo hilo licha linakwenda kinyume na sheria ya maendeleo ya karafuu Zanzibar linawafanya wadhulumiwe kwani vipimo hivyo ni vya wizi. Akizungumza na waandishi wa habari huko katika ukumbi wa Kiwanda cha Mafuta ya Makonyo Wawi Chake Chake.  Mkurugenzi Mwendeshaji wa…

Read More

Metacha aajiri watatu kupandisha kiwango

KIPA wa Singida Black Stars, Metacha Mnata amesema msimu huu ameajiri wataalamu  watatu wa kumchukua video wakati wa mechi ili kupata urahisi wa kujua kitu gani anapaswa kuboresha katika majukumu yake. Kipa huyo wa zamani wa Azam, Mbao na Yanga, alisema sababu ya uamuzi huo ni kutaka kuendana na mabadiliko ya soka kuchezwa kisayansi na…

Read More

Fainali FA kwa Ouma, Hamdi ni zaidi ya mechi

KOCHA wa Yanga, Miloud Hamdi na David Ouma wa Singida Black Stars, kila mmoja anaitazama fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kuwa ni zaidi ya mechi. Hiyo inatokana na yeyote atakayeshinda, ataweka rekodi katika maisha ya ufundishaji ambapo Hamdi anakutana na Singida,  timu iliyomtambulisha Desemba 2024 kuwa kocha wa timu hiyo, kisha akaibukia Yanga Februari…

Read More

Mgogoro wa Afya ya Akili ya Ulimwenguni unazidi kukiwa na pengo la ufadhili wa dola bilioni 200 – maswala ya ulimwengu

Huko New York, washiriki wanahudhuria usikilizaji wa wadau wengi kwa kuzuia na kudhibiti magonjwa yasiyoweza kuambukiza na afya ya akili na ustawi. Mkopo: UN PICHA/LOEY FELIPE na Oritro Karim (Umoja wa Mataifa) Jumatano, Juni 18, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Jun 18 (IPS) – Ingawa upatikanaji wa huduma za afya ya…

Read More

Taswa yaipongeza TFF kufuzu kwa Stars AFCON

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kimetoa pongezi kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Hemed Suleiman ‘Morocco’, wasaidizi wake na wachezaji wa Taifa Stars kwa kufuzu fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) zitakazofanyika mwaka 2025 nchini Morocco. Stars iliifunga Guinea 1-0 katika…

Read More

TUTATEKELEZA MIRADI YOTE KAMA ILIVYORATIBIWA-MAJALIWA

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali itaendelea kutekeleza miradi yote ikiwemo ya kimkakati kwa ajili ya kuhudumia jamii. Mheshimiwa Majaliwa ameongeza kuwa Wizara ya Fedha itaendelea kupeleka fedha katika kila wizara ili miradi yote iliyoratibiwa na wizara hizo ikiwemo ya kilimo ziweze kukamilisha kazi zote zilizopangwa katika mwaka huu wa fedha. Ameyasema hayo leo…

Read More