Wakazi Ileje waiangukia Serikali mradi wa maji ukamilike

Songwe. Wakazi wa miji ya Itumba na Isongole wilayani Ileje Mkoa wa Songwe wameiomba Serikali kuharakisha ujezi wa mradi wa maji unaojengwa kwa gharama ya Sh 4.9 bilioni ili kutatua changamoto ya huduma hiyo. Kukamilika kwa mradi huo kutawanufaisha wananchi takribani 20,000 wa eneo hilo. Wananchi wametoa maombi hayo kwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe,…

Read More

‘Mbinu upelelezi kesi za majangili ziimarishwe’

Lushoto. Jaji wa Mahakama ya Rufani,  Dk Paul Kihwelo amehimiza kuimarishwa kwa mbinu za upelelezi wa mashauri ya uhalifu dhidi ya wanyamapori na misitu ili kupata ushahidi utakaowezesha haki itendeke kwa wenye hatia. Jaji Kihwelo ambaye pia ni Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) mkoani Tanga, amesema hayo jana Aprili 29, 2024…

Read More

BODA BODA CHANGAMKIENI ASILIMIA 10 YA MKOPO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu amewahimiza Vijana wanaojishughulisha na Usafirishaji (Boda Boda) kuchangamkia asilimia 10 ya mikopo inayotolewa na Halmashauri zote nchini ili kuongeza tija na uzalishaji katika kazi zao. Mhe Ndejembi ametoa wito huo jijini Arusha wakati akihitimisha Mafunzo ya Usalama na Afya Mahali pa…

Read More

PUMZI YA MOTO: Mkasa wa Pamba FC kushuka daraja 202

HATIMAYE Pamba ya Mwanza imefanikiwa kurudi Ligi Kuu Bara tangu ishuke daraja 2001. Klabu hiyo ambayo sasa inatambulika kama Pamba Jiji, imepanda baada ya ushindi mnono wa 3-1 dhidi ya Mbuni ya Arusha kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini humo. Pamba, klabu yenye rekodi yake barani Afrika inarudi Ligi Kuu baada ya kukaa chini…

Read More

Kupima udhibiti wa mtandao ukitumia zana za OONI

Takribani kila nchi ulimwenguni inakumbana na baadhi ya visa vya udhibiti wa mtandao kinachotofautisha nchi dhidi ya nchi nyingine ni tovuti na viunzi gani vimefungwa, na athari ya kufungwa huko. Wakati wa kura na maandamano ulimwenguni, serikali kila mara uagiza kufungwa kwa mitandao ya kijamii inayotumika sana kama vile WhatsApp,X na Facebook . Katika nchi…

Read More

Che Malone, Inonga yawakuta Simba

Kwa namna Simba ilivyokuwa rahisi kuruhusu mabao msimu huu ndani ya Ligi Kuu Bara, beki wa zamani wa timu hiyo, Boniface Pawasa amesema msimu ujao lazima uamuzi mgumu ufanyike wa kusajili beki mwingine mwenye uwezo wa kuituliza safu hiyo ya ulinzi kwa maana, waliopo wameshindwa kutimiza majukumu yao. Pawasa ambaye alifanya makubwa ndani ya timu…

Read More