Nondo wa ACT-Wazalendo adaiwa kutekwa, Polisi yasema…

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT-Wazalendo, Abdul Nondo anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana katika Kituo cha Mabasi cha Magufuli kilichopo Mbezi Luis wilayani Ubungo jijini Dar es Salaam. Nondo anadaiwa kukutwa na kadhia hiyo leo Jumapili Desemba mosi, 2024 muda mfupi baada ya kushuka katika basi akitokea mkoani Kigoma alikokuwa akishiriki…

Read More

Utafiti waleta matumaini mapya watoto wenye mahitaji maalumu

Dar es Salaam. Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas) kimebaini watoto wanaozaliwa na changamoto katika ubongo wao, wanaweza kurudi katika hali ya kawaida iwapo watapatiwa mafunzo maalumu wakiwa chini ya umri wa miaka mitano. Katika utafiti walioufanya kwa watoto 23,000 waliozaliwa mwaka 2016 ambao walihusishwa katika utafiti huo, 500 walibainika kuzaliwa na…

Read More

Mwili wa Nyamo-Hanga kuzikwa Jumatano Bunda

Dar es Salaam. Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Gissima Nyamo-Hanga utazikwa nyumbani kwao Mingungani, Bunda mkoani Mara Jumatano ya Aprili 16, 2025. Nyamo-Hanga na dereva wake, Muhajiri Haule walifariki dunia saa 7:30 usiku wa kuamkia jana kufuatia ajali ya gari iliyotokea wilayani Bunda mkoani Mara. Kwa mujibu wa Kamanda…

Read More

Kibu atoa kauli hii Dabi ya Kariakoo

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Kibu Denis amewapa mzuka mashabiki wa timu hiyo siku chache kabla ya kupigwa kwa Dabi ya Kariakoo kwa kuwaambia kwamba wasihofu kwa vile anawafahamu vyema mabeki wa Yanga na kuapa tripu hii, hawachomoki. Kibu anayeitumikia Simba kwa msimu wa tatu, amekutana na Yanga katika mechi 10 zikiwamo mbili za Ngao ya…

Read More

Gambo aibua tuhuma za ufisadi Arusha, Spika Tulia…

Dodoma. Mbunge wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo ameibua tuhuma za ufisadi juu ya matumizi mabaya ya fedha kwenye miradi ya maendeleo. Gambo amesema hayo leo Jumatano, Aprili 16, 2025 wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) kwa mwaka wa fedha 2025/26. “Mimi…

Read More