Rekodi za mita 100 wanawake Olimpiki

Paris, Ufaransa. Mashindano ya Olimpiki yanatarajiwa kuanza Julai 26 mwaka huu kwenye jiji la Paris nchini Ufaransa. Haya ni mashindano makubwa na yenye heshima kubwa kwa miaka mingi na mwaka huu wanamichezo mbalimbali wanayasubiri kwa hamu kubwa sana. Pamoja na mashindano mengine, lakini riadha ni kati ya yale ambayo yamekuwa yakiwavutia watu wengi zaidi kwa…

Read More

Mikoa mguu sawa, Riadha Taifa ikifunguliwa leo

Mikoa imetambiana kutwaa ubingwa wa riadha kwenye mashindano ya Taifa yanayofunguliwa kesho Ijumaa jijini hapa. Tayari mikoa karibu yote imewasili jijini Mwanza tayari kwa mashindano hayo ya siku mbili yatakayofikia tamati keshokutwa Jumamosi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti viongozi wa baadhi ya mikoa wameeleza walivyojipanga kutwaa ubingwa wa msimu huu. Kocha wa mkoa Pwani, Elias Hotay…

Read More

, SAMIA CUP yazinduliwa Morogoro

Morogoro Kusini Mashariki inajengwa kwa sauti zaidi ya moja zenye kupaza juu mafanikio kwa kila sekta. Kwetu sisi kuamua ni jambo tusiloweza kuliacha kwa maana tunajua kuwa upo uwezekano wa kufanikiwa katika yote na kufanikiwa zaidi kwenye machache. Michezo ni sehemu yetu pia ambayo tunaamini tunaweza kufikia malengo makubwa kama Jimbo na Mtu mmojammoja. Katika…

Read More

Familia, Serikali wamzungumzia Askofu Sendoro

Mwanga. Familia ya Askofu Chediel Sendoro imeeleza namna ndugu yao alivyoishi kwa upendo katika familia na jamii na kwamba hakuwahi kuinua mabega licha ya kwamba alikuwa ni askofu. Askofu Sendoro alifariki dunia Septemba 9, 2024 kwa ajali ya gari iliyotokea katika eneo la Kisangiro, Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro saa 1:30 usiku baada ya gari…

Read More

Hizi ndizo tabia za Diarra, Aucho kambini Yanga

Kikosi cha Yanga jioni ya jana kilikuwa uwanjani kumalizana na Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu Bara, huku mastaa wa timu hiyo, Djigui Diarra, Maxi Nzengeli na Stephane Aziz KI walitarajiwa kuendeleza moto ulioifanya timu hiyo iwe tishio kwa sasa mbele ya wapinzani wanaochuana nao kuwania ubingwa. Hata hivyo, sasa unaambiwa tofauti na unavyowaona…

Read More

Mjengwa atambia mafaza wa Yanga, Simba

KOCHA wa Bigman FC, Salhina Mjengwa amesema katika championship wao ni kama ‘Underdog’ lakini iwapo watapata nafasi ya kupanda Ligi Kuu Bara wataitumia vyema, huku akisifia ubora wa kikosi hicho kutokana na mastaa wengi wa ndani na nje ya nchi. Timu hiyo ambayo zamani ilikuwa inafahamika Mwadui FC ya mkoani Shinyanga, ilianza kwa sare ya…

Read More

Chaumma kubinafsisha sekta ya maji, kujenga viwanda vya jipsamu

Same. Mgombea mwenza wa urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devota Minja ameahidi endapo chama hicho kitapewa ridhaa ya kuingia madarakani, kitaibua mageuzi makubwa katika sekta ya maji kwa kuhakikisha huduma hiyo inapatikana kwa urahisi kwa Watanzania wote. Akihutubia leo Jumatano Septemba 24, 2025 katika Kata ya Makanya, Wilaya ya Same Magharibi, Minja…

Read More

KESI YA LISSU UPDATES: Asomewa kesi ya pili

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Lissu amefikishwa mahakamani hapo leo Aprili 10, 2025 saa 10: 15 alasiri na kuwekwa kwenye mahabusu iliyopo mahakamani hapo. Mwanasiasa huyo alikamatwa jana Aprili 9, 2025 wilayani Mbinga mkoani Ruvuma muda mfupi baada ya kumaliza…

Read More