Marekani na Tanzania Zaungana Kupambana na Usugu Wa Vimelea Vya Magonjwa

Serikaliya Marekani kupitia Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) na Tanzania leozimeungana kuzindua kampeni ya “Holela– HolelaItakukosti” ambayo inaratibiwa na Offisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Wizara ya Afya Pamoja na Wizara ya Mifugo na Uvuvi. Kampeni hii inazingatia udhibiti kuhusu usugu wavimelea vya magonjwa dhidi ya dawa (UVIDA) namagonjwa ya kipaumbele…

Read More

Kuficha ‘makucha’ kwenye uchumba kunavyotesa ndoa nyingi

Juma Manyama alianza kusali kwenye moja ya makanisa kwa lengo la kuonekana kwa Happiness naye ni mcha Mungu, ili iwe rahisi kwake kuanzisha uhusiano naye. Anasema alivutiwa na Hapiness, lakini ili awe naye karibu, ilikuwa ni lazima naye aanze kusali kwenye kanisa alilokuwa akisali mwanamke huyo. “Nilifanya hivyo kwa miezi mitatu, Hapiness alinielewa, akakubali nimchumbie…

Read More

Kihogosi awajibu wanaoandamana CCM kupinga ‘kukatwa’ watiania

Dar es Salaam. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi amewasititizia WanaCCM kuheshimu uamuzi wa vikao kuhusu watiania walioteuliwa na chama hicho kuwania ubunge na udiwani. Amesema kila MwanaCCM anapaswa kutambua, kuheshimu chama hicho, badala ya watu ndani ya chama, akitumia msemo wa ‘chama kwanza, mtu baadaye.’ Kihongosi ameeleza…

Read More

Rais Ruto awaomba msamaha Watanzania

Dar es Salaam. Rais wa Kenya, William Ruto amewaomba msamaha Watanzania na Waganda kama kuna jambo lolote ambalo nchi hiyo imekosea. Rais Ruto ameyaomba radhi mataifa hayo leo Jumatano Mei 28, 2025, wakati wa Ibada Maalumu ya kuliombea taifa hilo iliyofanyika eneo la Safari Park nchini humo. Akinukuu Biblia, Ruto amesema nchi yoyote isiyo na shukurani…

Read More

Kilosa na mikakati wa matumizi ya nishati safi ya kupikia

Morogoro. Wilaya ya Kilosa mkoani hapa ni miongoni mwa maeneo yanayokabiliwa na uharibifu wa misitu unaochochewa na biashara ya kuni na mkaa. Nishati hiyo inayotumika kwa wingi katika kupikia, husafirishwa kutoka Kilosa kwenda kuuzwa katika miji na majiji mbalimbali nchini. Hivi karibuni Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Shaka Hamdu Shaka, akizungumzia  mikakati iliyowekwa kupunguza matumizi…

Read More