Picha la Benchikha lilivyokuwa | Mwanaspoti

Baada ya aliyekuwa Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha kuondoka, hatimaye timu hiyo sasa imebaki chini ya Juma Mgunda na Selemani Matola, lakini kuna maswali mengi ya kujiuliza ambayo yanatia shaka juu ya muenendo wa kikosi hicho. Tetesi za kuondoka kwa Benchikha zilianza kuzagaa kwa muda mrefu, huku mara chache uongozi wa timu hiyo ukikanusha…

Read More

SERIKALI KUFANYIA KAZI MADENI YA VYOMBO VYA HABARI

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini kuilinda taaluma ya habari kwa lengo la kuimarisha utendaji kazi wa sekta hiyo nchini. Ameyasema hayo leo Aprili 29, 2024 jijini Dodoma wakati akihutubia Jukwaa la Wahariri katika Mkutano wa 13 wa mwaka…

Read More

Viongozi wa Afrika wataka ufadhili zaidi wa mataifa tajiri – DW – 29.04.2024

Kwenye Kongamano la Maendeleo ya Kimataifa IDA linaloendelea jijini Nairobi nchini Kenya viongozi hao wamesema ili kufanikisha malengo hayo pana haja ya kufanywa mageuzi kwenye asasi za kimataifa ambazo hufadhili mataifa yanayostawi. Rais William Ruto wa Kenya aliyefungua rasmi Kongamano hilo la siku mbili, alitangulia kwa kupaza sauti kwa  mashirika wafadhili kuitikia mchango wa Chama…

Read More

Wanaharakati wahamishia mapambano mtandaoni | Mwananchi

Morogoro. Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Onesmo Olengurumwa amewataka watetezi wa haki za binadamu hapa nchini kuongeza kasi ya kuibua na kushughulikia changamoto za ukatili na ndoa za utotoni kwenye maeneo yao, ikiwemo mitandaoni ambako nako ukatili huo unafanyika. Akizungumza na Mwananchi leo Aprili 29, 2024 kwenye mafunzo maalumu…

Read More

Yanga yafanya uamuzi mgumu kwa Lomalisa, Kibabage

UONGOZI wa klabu ya Yanga umefanya uamuzi mgumu kwa nyota wake wawili wa nafasi ya ulinzi ya beki ya kushoto, Joyce Lomalisa Mutambala na Nickson Kibabage kwa kumbakisha kikosini staa huyo wa zamani wa Mtibwa Sugar ambaye anacheza kwa mkopo kutokea Singida Fountain Gate akichukua nafasi ya Mcongo huyo anayetimka mwisho wa msimu. Kibabage alikuwa…

Read More

DKT.BITEKO ATEMBELEA BANDA LA BARRICK KWENYE MAONESHO YA OSHA NA KUPONGEZA KAMPENI YAKE YA USALAMA YA ‘JOURNEY TO ZERO’

NAIBU  Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dk. Doto Biteko, ameipongeza Kampuni ya Barrick chini kupitia migodi yake ya Bulyanhulu, North Mara na Buzwagi kwa kuzingatia kanuni za Afya na usalama kwa ufasaha kupitia sera yake ya ‘Journey to zero’.   Biteko alitoa pongezi hizo baada ya kutembelea banda la Barrick Tanzania katika maonesho…

Read More

TAEC ilivyookoa maisha ya watu dhidi ya mionzi

Dar es Salaam. Tume ya Nguvu za Atomic Tanzania (TAEC) imezuia matukio 17 yaliyohusiana na mionzi ambayo yalikuwa na uwezekano wa kuleta madhara makubwa kwa jamii, endapo wasingeingilia kati. Matukio ambayo wameyazuia ni utumikaji wa urani kwenye mazao kwa ajili ya kuua wadudu na uingizwaji wa kifaa kizito cha mionzi ambacho hakijatajwa, kilichokuwa kinatafutiwa mteja….

Read More

JKT yavuta 20 milioni ikiizamisha Mtibwa

USHINDI wa mabao 2-1 ilioupata timu ya JKT Tanzania leo dhidi ya Mtibwa Sugar umewafanya mastaa wa timu hiyo kushinda bonasi ya Sh20 milioni kutoka kwa uongozi wa maafande hao huku ukiididimiza Mtibwa mkiani mwa msimamo. JKT ndiyo ilianza kupata bao katika dakika ya sita kupitia kwa beki Edson Katanga aliyefunga kwa kichwa kabla ya…

Read More

Blinken airai Hamas kuridhia ombi la Israel kuwaachia mateka – DW – 29.04.2024

29.04.202429 Aprili 2024 Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken amewatolea mwito wanamgambo wa kundi la Hamas kukubali pendekezo la Israel la kuwaachilia huru mateka wanaowashikilia Gaza,ili kufungua njia ya usitishaji mapigano. https://p.dw.com/p/4fJVc Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony BlinkenPicha: Ichiro Ohara/Yomiuri Shimbun/AP Photo/picture alliance Wajumbe wa Hamas wanatarajiwa kukutana na…

Read More