Benki ya NBC ‘Yawanoa’ wafanyabiashara Tanzania – Afrika Kusini kuhusu Masoko ya Fedha za Kigeni

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa elimu maalum kwa wafanyabiashara baina ya Tanzania na Afrika Kusini kuhusu masoko ya fedha za kigeni sambamba na muelekeo wa hali ya kiuchumi hususani nchini Tanzania. Hatua hiyo ililenga kuwajengea uwezo na ufanisi zaidi wafanyabiashara hao utakaowasaidia kufanya uamuzi sahihi kwenye masuala yanayohusu manunuzi ya fedha hizo na…

Read More

Mchungaji aitaka Serikali ipitie upya leseni za waganga wa kienyeji

Tabora. Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Lutengano Mwasongela ameishauri Serikali kupitia Wizara ya Afya kufanya mapitio ya leseni wanazotoa kwa waganga wa kienyeji kwa lengo la kuhakikisha wanaopewa wanafanya yale yanayokusudiwa kwa mujibu wa sheria. Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu, Septemba 2, 2024, Mwasongela amesema hivi karibuni mganga aliyekuwa akiishi mkoani…

Read More

Benki ya Akiba yaja na kampeni Twende Kidijitali

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Benki ya Akiba imezindua kampeni ya kidijitali ijulikanayo kama ‘Twende Kidijitali’ ili kutoa suluhisho la changamoto za kifedha. Kampeni hiyo iliyozinduliwa leo Desemba 18,2024 inalenga kuboresha uzoefu wa wateja kupitia suluhisho la kifedha la kisasa, haraka na la kuaminika. Kampeni hiyo inahamasisha matumizi ya huduma za kidijitali kama vile ACB…

Read More

RAIS SAMIA AMEELEKEZA RASILIMALI ZINAZOCHIMBWA NCHINI ZIWANUFAISHE WATANZANIA – DKT. BITEKO

📌 Asisitiza Ushuru wa Huduma Kutatua Changamoto za Wananchi 📌 Uchimbaji wa Gesi Asili Kuchochea Uchumi Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza Watanzania kunufaika na rasilimali zinazochimbwa katika maeneo yao kwa kutoa fursa mbalimbali ikiwemo ajira. Hayo yameelezwa…

Read More

Marekani yaishambulia Iran, yenyewe yaapa kulipa kisasi

Lilikuwa suala la muda tu. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Marekani kutangaza hadharani kuwa imefanya mashambulizi dhidi ya miundombinu ya nyuklia nchini Iran. Marekani sasa imeingia rasmi katika mgogoro  kati ya Israel dhidi ya Iran. Hatua hiyo imetangazwa usiku wa kuamkia leo Jumapili Juni 22, 2025, na Rais wa taifa hilo, Donald Trump. Katika hotuba…

Read More

NBC Kutumia Mchezo wa Gofu Kuchochea Ushirikiano wa Kibiashara.

Mashindano ya Gofu ya ‘NBC Waitara Trophy 2025’ yamehitimishwa kwa mafanikio makubwa huku mdhamini mkuu wa mashindano hayo, benki ya NBC ikisisitiza dhamira yake ya kuendelea kushirikiana na wadau wa mchezo huo ili kuchochea ushirikiano wa kibiashara miongoni mwa wadau, kukuza na kuendeleza vipaji na kutangaza utalii. Mashindano hayo yaliyofanyika kwa siku moja yakilenga kumuenzi…

Read More