Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 – Haki kwa Wanawake na Wasichana Inahitaji Hatua na Utashi wa Kisiasa – Masuala ya Ulimwenguni

Anne Hathaway, Balozi wa Umoja wa Mataifa wa Nia Njema kwa Wanawake, akihutubia Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake ya 2026 ya Umoja wa Mataifa kuhusu mada: ‘Haki, Haki, Hatua kwa Wanawake na Wasichana WOTE.’ Credit: UN Photo/Evan Schneider na Naureen Hossain (umoja wa mataifa) Jumatatu, Machi 09, 2026 Inter Press Service UMOJA WA…

Read More

SGR kuanza kutoa mizigo bandarini

Dar es Salaam. Serikali imesema kuanzia mwisho wa mwezi huu, itaanza kutumia Treni ya Kisasa (SGR) kusafirisha mizigo moja kwa moja kutoka bandarini, badala ya kutumia bandari ya Pugu kama ilivyokuwa awali. Hayo yameelezwa baada ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu kudai kuwa uondoshaji wa mizigo bandarini ni sababu inayofanya ufanisi wa bandari…

Read More

Mukwala, Aucho upepo umebadilika, warejeshwa The Cranes

SIKU tatu tu tangu kikosi cha timu ya taifa ya Uganda The Cranes kutangwazwa huku majina ya nyota wa zamani wa Yanga, Khalid Aucho na mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala kutojumuishwa upepo umebadilika kwa wachezaji hao. Taarifa kutoka Uganda zinasema kuwa, nyota hao wameongezwa katika kikosdi hicho kinachojiandaa na mechi mbili za kuwania kufuzu fainali…

Read More

Wabunifu wahimizwa kuja na teknolojia zitakazochochea matumizi bora ya nishati

Dar es Salaam. Wabunifu nchini wamehimizwa kuja na teknolojia zitakazochochea matumizi bora na sahihi ya nishati, ili kusaidia kupunguza upotevu na kuongeza ufanisi wa matumizi yake. Wito huo umetolewa leo, Septemba 12, 2025, katika hafla ya kuwapongeza washindi 10 wa shindano la ‘Energy Efficiency Innovation Challenge,’ linalolenga kuwahamasisha vijana wabunifu kuibua suluhisho za kiteknolojia kwa…

Read More