Sloti ya Forest Rock kasino fanya haya ushinde

  KASINO ya Meridianbet inakupeleka hadi kwenye msitu wenye wanyama pori ambao, watakupa ushindi muda wowote unapokutana nao. Jisajili Meridianbet kisha ingia upande wa Kasino ya Mtandaoni. Katika Kasino ya Mtandaoni Meridiannbet kuna Sloti ya Forest Rock ina muundo wa kizamani wenye kolamu 5 na mistari 15 ya ushindi. Suala la kuchagua Meridianbet basi umechagua…

Read More

WANANCHI WARIDHISHWA NA HUDUMA ZA WIZARA YA ARDHI SABASABA

  Baadhi ya wananchi waliotembelea Banda la Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi katika Maonesho ya Kimataifa ya Biashara (Sabasaba) wameonesha kuridhishwa na huduma zinazotolewa na wizara hiyo. Wakizungumza katika banda la Wizara ya Ardhi tarehe 4 Julai 2025  katika maonesho hayo yanayoendelea katika viwanja vya Mwl Nyerere Dar es Salaam, wananchi hao…

Read More

Profesa Janabi asimulia alivyosimamia mitihani ya Dk Ndugulile

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesema anachokikumbuka kwa aliyekuwa mbunge wa Kigamboni na Mkurugenzi mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika, Dk Faustine Ndugulile ni jinsi alivyomsimamia mitihani miwili kwa nyakati tofauti. Hayo amebainisha alipojitokeza kuomboleza na kuhani msiba wa Dk Faustine Ndugulile nyumbani…

Read More

Umoja wa Mataifa waongeza shinikizo la kusitisha mapigano nchini Sudan – Masuala ya Ulimwenguni

Rufaa hiyo inafuatia mpango wa amani uliowasilishwa na Waziri Mkuu wa Mpito wa Sudan wakati wa a Baraza la Usalama kukutana mapema wiki hii. Umoja wa Mataifa Katibu Mkuu Antonio Guterres “anazingatia mpango wa amani”, msemaji wake alisema Ijumaa, akisisitiza kuwa “harakati za kutafuta amani ya kudumu na shirikishi ni muhimu wakati mzozo unapoingia mwaka…

Read More

Baresi, Pweka waungana KMC | Mwanaspoti

SIKU chache baada ya kufahamika kuwa mabosi wa KMC wameafiki kuamuajiri aliyekuwa kocha wa Zimamoto ya Zanzibar, Abdallah Mohamed ‘Baresi’ ili kwenda kuchukua nafasi ya Mbrazil Marcio Maximo, kocha huyo inadaiwa ametua na msaidizi kutoka visiwani humo. Maximo aliachana na kikosi hicho Desemba 6, 2025, baada ya kudumu kwa siku 131, tangu alipotambulishwa, Julai 28,…

Read More

Serikali yaibua mkakati mpya kwa vijana

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikitangaza mikakati nane ya kukuza uwekezaji katika mwaka 2025/2026, vijana wamepewa nafasi kubwa ili kuwa miongoni mwa wawekezaji wakubwa nchini. Ili kuongeza ushiriki wao, Serikali imetangaza kuanzisha kituo cha kuwasaidia vijana kufanya uwekezaji na kuwatengea maeneo maalumu kwa ajili ya ujenzi wa viwanda. Hayo yameelezwa leo Novemba 28, 2025 na…

Read More

DKT.SAMIA AAHIDI KUIREMBESHA TABORA KWA TAA ZA BARABARANI 2,500

*Aainisha utekelezaji wa Ilani iliyopita, aanika yanayokwenda kufanyika miaka mitano ijayo Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tabora MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema ameona maendeleo makubwa yaliyofikiwa katika mkoa ambayo imetekelezwa katika miaka mitano iliyopita na iwapo watapata ridhaa ya wananchi Serikali itafanya makubwa zaidi katika miaka mitano ijayo. Akizungumza katika mkutano…

Read More

NACTVET WAKUTANISHA WADAU WA ELIMU ZAIDI YA 260 DODOMA

Na Okuly Julius, Dodoma   Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), Dkt. Adolf Rutayuga,leo tarehe 9 Mei,2024, jijini Dodoma, amefungua rasmi kikao cha wadau, kinachojumuisha Wakuu wa vyuo na maafisa udahili ambao jumla yao ni 267, kinachojadili masuala ya udahili na upimaji, ili kubaini dosari…

Read More