TOTAL FOOTBALL: Nani atatoboa? | Mwanaspoti

MANCHESTER, ENGLAND: KUELEKEA msimu huu wa Ligi Kuu England mmoja kati ya mastaa wanaotarajiwa kufanya makubwa ni straika wa Manchester City, Erling Haaland. Haaland ambaye alijiunga na Man City mwaka 2022, anatarajiwa kuvunja rekodi mbalimbali zinazoendelea kuishi katika ligi hiyo. Moja kati ya rekodi hizo ni ile ya Dixie Dean aliyefunga mabao 60 ya EPL…

Read More

SAKATA LA KIBU: Simba yatoa sharti jipya, yataja bei

Dar es Salaam. Simba imetoa sharti gumu kwa mchezaji wake Kibu Denis na Kristiansund BK inayomhitaji ili imruhusu mshambuliaji huyo kujiunga na timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Norway. Sharti hilo ni kuitaka Kristiansund BK kulipa kiasi cha Dola 1 milioni (Sh 2.7 bilioni) ili kumnunua moja kwa moja mshambuliaji huyo vinginevyo haitokuwa tayari kumuachia…

Read More

Cheza Sloti ya Zombie Apocalypsie kuvuna mapesa

  Huu ni moja kati ya michezo migni ya Meridianbet rahisi kucheza na kushinda, kwa kubonyeza kitufe cha Spin tayari mchezo utafunguka na utaweka dau utakalo ili kuwa mtaji wako wa utajiri. Jisajili sasa na cheza Zombie Apocalypsie ushinde Mamilioni. Hatua za Ushindi Kasino ya Mtandaoni Zombie Apocalypse ni Sloti yenye mistari 20 ya malipo,…

Read More

Josiah anazitaka nne ngumu Tanzania Prisons

USHINDI katika mechi nne mfululizo umeonekana kuipa nguvu Tanzania Prisons, huku Kocha Mkuu wa timu hiyo, Aman Josiah akiamini mechi mbili zilizobaki dhidi ya Yanga na Singida Black Stars atapata pointi nne anazozitaka ili timu iwe salama. Ushindi wa pointi nne ambazo zinaonekana kuwa ngumu utakinasua moja kwa moja kikosi hicho na janga la kushuka…

Read More

Pembe: Simba wasipofunga mlango, zile 5 zinarudi

MSANII wa vichekesho nchini, Yusuph Kaimu ‘Pembe’ amesema pamoja na matumaini waliyonayo mashabiki wa Yanga kushinda, lakini mastaa wanapaswa kuiheshimu Simba kwani mechi ya watani siyo kujihakikishia pointi tatu, japo akaonya: “Simba wasipofunga mlango vizuri zile tano zinarudi.”. Kauli ya msanii huyo inakuja ikiwa imebaki siku moja kushuhuhudia mchezo wa watani wa jadi kati ya…

Read More

Wazazi washauriwa kuwalinda watoto – Mtanzania

Na Malima Lubasha, Serengeti WAZAZI na Walezi wa wanafunzi wanaosoma Shule ya Msingi Mapinduzi, Kata ya Mugumu wilayani Serengeti mkoani Mara,wametakiwa kuwalinda watoto wao na kuacha kuwapa kazi ya kufanya biashara wakati wenzao wanaendelea na masomo. Ushauri huo umetolewa na Polisi Kata ya Mugumu, Mkaguzi Msaidisi wa Polisi, Pius Kahabi wakati alipozungumza na wazazi,walezi na…

Read More

MWISHO MBAYA: Mbappe, PSG wanavyotafuta kuumizana

PARIS, UFARANSA: WIKI kadhaa zilizopita, kulikuwa na stori ya Kylian Mbappe kutaka kuishtaki Paris Saint-Germain (PSG) kwa kutomlipa baadhi ya mishahara yake ambapo mama yake alithibitisha. Timu ya wanasheria wa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa iko tayari kuwasilisha kesi mahakamani dhidi ya mabingwa hao wa Ligi Kuu Ufaransa (Ligue 1), kwa kudai kwamba mishahara…

Read More

Juhudi na jitihada haijawahi kumtupa mtu” DC Mwanziva

Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Mhe. Victoria Mwanziva amewaasa vijana wa Lindi kuweka juhudi na jitihada katika mambo wanayoyafanya ili kupata matokeo tarajiwa. Mhe. Mwanziva ametoa nasaha hiyo, Juni 10, 2025 wakati wa mahafali ya wanafunzi waliohitimu Mafunzo ya Ufundi Stadi Ngazi ya Tatu katika Chuo cha VETA Lindi. Mhe. Mwanziva ambaye alishiriki mahafali hayo…

Read More