Balama: Kama si Yanga ningeacha soka

CHANGAMOTO katika maisha ni vitu vya kawaida, lakini kuna nyingine huwa zinakatisha tamaa na kama mtu ana roho ndogo ni ngumu kutoboa. Hutokea bahati tu, mtu akizungukwa na watu wenye kujali na kutia moyo na kusaidia ushauri wa kisaikolojia kama ilivyomkuta winga wa zamani wa Yanga, Balama Mapinduzi ‘Kipenseli’ anayefichua alivyobakia kidogo tu aache kucheza…

Read More

Bolt Business yazindua Huduma yake kuponi kwa makampuni ili kutoa huduma kwa wafanyakazi, wateja na washirika kwa urahisi nchini Tanzania

Kampuni inayoongoza kwa mahitaji ya usafiri kwa makampuni kwa njia ya mtandao barani Afrika Bolt Bolt Business, imetangaza huduma yake mpya ya Bolt Business Kuponi ili kuruhusu wafanyabiashara/mashirika kushiriki au kulipia kikamilifu gharama ya safari ya mara moja kwa wafanyakazi na wateja wao.  Kuponi ni sehemu ya Bidhaa ya Bolt Business inayolenga kusaidia wateja walio…

Read More

Matola aachiwa msala Simba | Mwanaspoti

KOCHA Msaizidi wa Simba, Seleman Matola ameachiwa msala wa kuiongoza timu hiyo kati-ka mechi zilizosalia na Ligi Kuu Bara ikiwamo wa keshokutwa dhidi ya Namungo, baada ya aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha kuamua kuachana na timu hiyo akitoka kuipa Kombe la Muungano lililofanyika Zanzibar. Benchika aliyetambulishwa na Simba Novemba 28 mwaka jana,…

Read More

CCM wilaya ya mbogwe walia na tozo mazao ya chakula kwa wakulima.

Wananchi na Wakulima katika Halmashauri ya wilaya ya Mbogwe Mkoani Geita wamewalalamikia viongozi wao wa kata kwa kushindwa kudhibiti Baadhi ya watumishi wa Halmashsuri hiyo ambao wamekuwa wakikamata wakulima wanapokuwa wanavuna Mazao huku wakiwataka kulipia ushuru wa Mazao ya chakula. Hayo yamebainishwa katika kikao cha uwasilishaji Taarifa ya utekelezaji wa Irani ya CCM kwa kipindi…

Read More

Mafuriko yachelewesha kufungua shule Kenya

Nairobi, Kenya/AFP.  Kenya imesema leo Jumatatu kuwa imeahirisha kufunguliwa kwa shule kwa wiki moja kutokana na “mvua kubwa inayoendelea” ambayo imesababisha mafuriko katika taifa hilo la Afrika Mashariki. Awali shule zilipangwa kufunguliwa leo Jumatatu Aprili 29, 2024 baada ya likizo za katikati ya muhula, lakini mvua kubwa za Masika zimeathiri miundombinu mingi ya elimu na…

Read More