Kilichobaki Bara ni vita ya nafasi na noti

LIGI Kuu Bara imesaliwa na mechi 19 ikiwamo Dabi ya Kariakoo kabla ya kufungwa kwa msimu huu, huku vita ya ubingwa ikisalia kwa vigogo Simba na Yanga, ilihali nafasi nyingine imebaki kuwa ni vita ya nafasi ya pesa za wadhamini wa ligi hiyo iliyoasisiwa mwaka 1965. Yanga ndio inayoongoza msimamo ikiwa na pointi 73, ikifuatiwa…

Read More

Mkenya airahisishia Simba | Mwanaspoti

WAKATI Simba ikifukuzia saini ya winga wa Polisi ya Kenya, Mohammed Omar Ali Bajaber kwa ajili ya kuboresha kikosi hicho msimu ujao, kwa sasa mabosi wa timu hiyo washindwe wenyewe. Simba ambayo iliyopoteza fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika na kumaliza nafasi ya pili katika Ligi Kuu Bara, imekuwa ikifanya usajili ya kimya kimya na…

Read More

Hoja za usalama, akili bandia kutawala mkutano wa IPU

Unguja. Hoja ya ulinzi, usalama na amani inatarajiwa kuchukua nafasi kubwa wakati wa mkutano wa Umoja wa Mabunge Duniani unaotarajiwa kufanyika Oktoba nchini Uswis. Mbali na hoja hiyo, mengine yanayotarajiwa kujadiliwa ni masuala ya akili bandia na mabadiliko ya tabaianchi. Akizungumza leo Juni 20, 2024 baada ya kukamilisha kikao cha Kamati Tendaji ya IPU, Rais…

Read More

MKURUGENZI WA TUME YA TAIFA YA UMWAGILIAJI AAGIZA WAKANDARASI KUTOKA HARAKA KUMALIZA MRADI WA MKOMBOZI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Raymond Mndolwa, amewataka wakandarasi wanaojenga mradi wa Umwagiliaji Skimu ya Mkombazi, Mkoani Iringa, kuongeza kasi katika ujenzi wa miradi hiyo. Mndolwa amesisitiza umuhimu wa kuhakikisha uwekezaji mkubwa uliofanywa na serikali unaleta matokeo chanya kwa wakulima katika msimu ujao, na kuagiza wakandarasi kumaliza kazi hiyo hadi mwishoni mwa…

Read More

Nyota Outsiders azigonganisha nne | Mwanaspoti

BAADA ya Stein Warriors, JKT, Savio na ABC kuibuka na kuitaka saini ya nyota wa UDSM Outsiders, Tryone Edward, mwenyewe amefunguka anachoangalia ni masilahi tu, kwake kambi popote, huku nyota mwenzake Josephat Petar akimaliza mkataba wake. Timu mbalimbali zitakazoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), zinaendelea kujiweka sawa kwa kusajili nyota wapya,…

Read More

European Union Special Representative for the Great Lakes Region, Johan Borgstam, makes first official visit to Tanzania

As part of ongoing regional engagements, the European Union Special Representative (EUSR) for the Great Lakes Region, Johan Borgstam, is visiting Tanzania from 16 to 18 January, following previous visits to Burundi, DRC, Rwanda, Angola, Kenya and Uganda. EUSR Borgstam will hold high-level discussions with the Minister of Defence, H.E. Stergomena Lawrence Tax, and the…

Read More

Jinsi Kansela Olaf Scholz alivyopoteza umaarufu wake – DW – 28.12.2024

Mnamo Septemba, Scholz alikwepa swali la mwandishi wa habari kuhusu urithi wake kisiasa. “Nadhani mtu anapaswa kuwa makini na wanasiasa wanaofikiria kuhusu hilo kabla ya muhula wao kuisha,” alisema katika mahojiano na gazeti la Tagesspiegel la Berlin. Lakini baada ya kuvunjika kwa muungano wake wa vyama vitatu vya mrengo wa kati-kushoto, Scholz anaweza kuwa ameanza kujiuliza…

Read More

Wanne wafariki ajali ya lori lililofeli breki Bunda

Bunda. Watu wanne wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa huku mmoja akiwa katika hali mbaya,  baada ya lori lililokuwa limepakia mawe kuacha njia na kuwagonga wafanyabiashara pamoja na jengo moja. Ajali hiyo imetokea leo Ijumaa Novemba 22, 2024 saa 5:40 asubuhi katika makutano ya barabara ya Mwanza – Bunda na Nyamuswa – Ukerewe mjini Bunda…

Read More