Mahakama yaitahadharisha Serikali kuchelewesha kesi ya ‘Boni Yai’, Malisa

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam imeitahadharisha Jamhuri kutokana na kukwamisha usikilizwaji wa awali wa kesi inayomkabili mfanyabiashara na mwanasiasa, Boniface Jacob na mwenzake, mwanaharakati Godlisten Malisa, ikisema inatoa ahirisho la mwisho. Jacob, maarufu Boni Yai, mkazi wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam na Malisa, mkazi wa Moshi, mkoani…

Read More

Yanga, Simba zapewa ubingwa Afrika

Dar es Salaam. Makocha na nyota wa zamani wa soka nchini wamezitabiria makubwa timu za Tanzania Bara zinazoshiriki mashindano ya klabu Afrika msimu ujao huku wakiamini zinaweza kutwaa ubingwa. Katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Tanzania itawakilishwa na Yanga na Azam wakati kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, wawakilishi ni Simba na Coastal Union. Kwa mujibu wa…

Read More

Matteo, Adam wakiri mambo magumu

BAADHI ya washambuliaji wa Ligi Kuu Bara, Adam Adam wa Tanzania Prisons, Matteo Antony wa JKT Tanzania na Tariq Seif wa Kagera Sugar, wamekiri msimu huu haukuwa mzuri kwa upande wao. Adam ambaye msimu uliyopita akiwa na Mashujaa alimaliza na mabao saba, jambo lililoishawishi Azam kumrejesha kikosini kabla ya kumtoa kwa mkopo Prisons ambako kabla…

Read More

BILIONI 2.3 KUSAIDIA BIASHARA CHANGA ZA VIJANA TANZANIA

“”””””” Na Mwandishi Wetu  Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kwa kushirikiana na CRDB Bank Foundation wamesaini mkataba wa shilingi bilioni 2.3 kwa ajili ya kuziwezesha biashara changa za vijana nchini. Hafla hiyo ya kihistoria imefanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), Dar es Salaam, ambapo rasmi ni Waziri wa…

Read More

Hatari ya shisha kwa vijana katika kifua kikuu

Dar/Mikoani. Ni kawaida siku hizi katika kumbi za starehe mijini kukuta mitungi ya shisha juu ya meza, huku watumiaji wakichangia kilevi hicho. Je, unajua kuna uwezekano mkubwa mtumiaji kupata maambukizi ya Kifua Kikuu (TB)? Ijapokuwa hakuna utafiti wa moja kwa moja Tanzania unaoonyesha shisha ni chanzo cha TB, nchini Uswizi kupitia utafiti uliofanywa na Dk…

Read More

Mbulu yatumia Sh204 bilioni kwa maendeleo

Mbulu. Wilaya ya Mbulu imetumia Sh204 bilioni kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo ya elimu, afya na maji, katika kipindi cha miaka minne ya utawala wa Serikali ya awamu ya sita. Mkuu wa Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, Michael Semindu, ameyasema hayo leo Aprili 5, 2025 wakati akisoma taarifa ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi…

Read More

CCM yaahidi kilimo cha kisasa, skimu za umwagiliaji

Kondoa. Chama cha Mapinduzi (CCM), kimeahidi kuanzisha mashamba makubwa ya kilimo cha kisasa katika eneo la Pahi lililopo Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma. Mashamba hayo yatawekewa skimu za umwagiliaji ili kuwawezesha wakulima kulima mara mbili kwa mwaka, jambo litakalochochea uzalishaji mkubwa na kuongeza fursa za ajira kwa vijana. Hayo yamebainishwa na mgombea urais wa chama…

Read More