MAWAZIRI WA AFRIKA KUJADILI VIPAUMBELE VYA AFRIKA IDA 21

Na. Josephine Majura na Saidina Msangi, WF, Nairobi, Kenya Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (MB), ameungana na Mawaziri wa Fedha wa Afrika kushiriki katika mkutano maalum wa kujadili vipaumbele vya Afrika ili viweze kuzingatiwa katika maandalizi ya Mzunguko wa 21 wa Mfuko wa Maaalumu wa Maendeleo wa Benki ya Dunia (IDA21) unaotarajiwa…

Read More

USM Alger yagoma kuingiza timu uwanjani

Bingwa mtetezi wa Kombe la Shirikisho Afrika, USM Alger ya Algeria imegoma kuingiza timu kwenye Uwanja wa Berkane Municipal kwa ajili ya mchezo wa  nusu fainali ya pili ya michuano hiyo dhidi ya RS Berkane ya Morocco, uliopangwa kupigwa saa 4:00 usiku. USM Alger ilifika hadi kwenye vyumba vya kubadilishia nguo lakini hawakuingia uwanjani na…

Read More

Mwanafunzi afa maji akiogelea, mwili waopolewa mtoni

Kibaha. Mwili wa aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha sita katika Shule ya Sekondari Waliul Asr Education Center wilayani Kibaha, mkoani Pwani, aliyesombwa na maji kwenye mto unaokatiza shuleni hapo umepatikana. Mwanafunzi huyo, Amar Mwazoa alisombwa na maji Aprili 22, 2024 ikidaiwa chanzo ni tatizo la msuli wakati akiogelea. mwenzake, Ally Mwinyi, akizungumzia tukio hilo amesema…

Read More

Mawasiliano Pwani-Lindi yarejea baada ya barabara kukatika

Dar es Salaam. Sehemu ya barabara eneo la Kimanzichana mkoani Pwani, ilomeguka kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha, imekarabatiwa. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, alitembelea eneo hilo lililopo Mkuranga katika njia kuu ya kuelekea mikoa ya kusini  leo Aprili 28, 2024. Sehemu ya barabara eneo la Kimanzichana mkoani Pwani ilikatika kabla ya ukarabati. Picha na Mtandao “Niwahakikishie…

Read More

Tanzania, Somalia zakubaliana haya sekta ya afya

Dar es Salaam. Tanzania na Somalia zimekubaliana mambo makuu matatu ya ushirikiano katika sekta ya afya ikiwemo matibabu ya kibingwa na ubingwa bobezi, kutoa mafunzo ya udaktari bingwa na bobezi na ushirikiano katika ununuzi na usambazaji dawa kupitia Bohari ya Dawa (MSD). Hayo ni miongoni mwa makubaliano yaliyofanyika kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na…

Read More

Joto kazini laua 18,970 kila mwaka duniani

Arusha. Wafanyakazi zaidi ya milioni 22 duniani wanapata madhara ya ajali sehemu za kazi, huku wengine 18,970 wakifariki duniani kote kila mwaka kutokana na ongezeko la joto mahali pa kazi. Mbali na waajiri kuweka mazingira rafiki sehemu ya kazi, waajiriwa wametakiwa kutambua kwamba wana wajibu wa kuhakikisha wanasimamia usalama wao pindi wawapo kazini. Hayo yamebainishwa…

Read More