CTI na wanachama wajadili utitiri wa tozo

  MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, shule Kuu ya Biashara (UDBS), Patrolik Kanje, ameshauri utitiri wa tozo za mamlaka ya udhibiti zipunguzwe ili kuwapunguzia mzigo wazalishaji wa bidhaa nchini.Alitoa ushauri huo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam wakati akizungumza na wanachama wa Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI). Anaripoti Mwandishi Wetu,…

Read More

Dodoma watembelea miradi ya gesi asilia kwa teknolojia ya uhalisia pepe

MAONYESHO ya Kimataifa ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma yamekuwa ni sehemu ya wananchi kujionea utekelezaji wa miradi mbalimbali katika sekta ya nishati ikiwemo miradi ya gesi asilia na mafuta. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Katika Banda la Wizara ya Nishati wananchi wameonesha kuvutiwa na teknolojia ya uhalisia pepe (Virtual reality)…

Read More

Gamondi, Nabi kuna ubabe unafikirisha | Mwanaspoti

HAKUNA ubishi juu ya kiwango bora kilichoonyeshwa na Yanga msimu huu na kufanikiwa kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ambao umechagizwa na wachezaji mbalimbali katika kikosi hicho akiwemo Kocha Mkuu, Miguel Gamondi, aliyerithi mikoba ya Nasrreddine Nabi aliyetimka baada ya msimu uliopita kumalizika. Gamondi, raia wa Argentina huu ni msimu wake wa kwanza kuifundisha Yanga na…

Read More

Vituo vya umahiri 13 vyaanzishwa vyuoni

Dodoma. Serikali imeanzisha vituo vya umahiri 13 kati ya vituo 13 sawa na asilimia 100 ya lengo la miaka mitano. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga leo Jumatano Februari 12, 2025, wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Shally Raymond. Mbunge huyo amehoji vituo vingapi…

Read More

CBE YAPONGEZWA KWA MAFANIKIO MAKUBWA NDANI YA MIAKA 60

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV KATIBU Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah amekipongeza Chuo Cha Elimu ya Biashara (CBE) kwa mafanikio yake ndani ya miaka 60 na kusisitiza umuhimu wa Chuo hicho katika kutoa elimu bora ya biashara na kuandaa wataalamu wenye ujuzi. Pongezi hizo amezitoa leo Julai 3, 2024 wakati…

Read More

Watatu waachiwa huru usafirishaji kilo 21 za heroini

Dar es Salaam. Mahakama Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imewaachia huru washtakiwa watatu walioshtakiwa kwa makosa ya kusafirisha kilo 21.67 za dawa za kulevya aina ya heroini. Hukumu iliyowaachia huru washtakiwa hao wakazi wa jijini Dar es Salaam imetolewa jana Septemba 20, 2024 na Jaji Sedekia Kisanya aliyesema upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha…

Read More

MAHAKAMA YA RUFAA YAFUTA HUKUMU YA MIKOPO CHECHEFU

  Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA ya Rufaa imetengua hukumu iliyotolewa na Mahakama kuu divisheni ya biashara katika moja ya kesi maarufu za mikopo chechefu baina ya kampuni ya State Oil dhidi ya Benki ya Equity kesi ambayo Mahakama Kuu hiyo chini ya Jaji Magoiga iliipa ushindi kampuni ya husika ambayo ilikopa dola milioni 18 (zaidi…

Read More