
Ndege ya jeshi yaanguka shuleni yaua wanafunzi 16
Bangladesh. Watu 19 wamefariki dunia nchini Bangladesh baada ya ndege ya jeshi kamandi ya anga kuanguka katika eneo la Shule na chuo cha Milestone jijini Dhaka, leo Jumatatu Julai 21, 2025. Ndege hiyo ya mafunzo ya kijeshi kwa mujibu wa Al Jazeera imeanguka saa saba mchana wa leo wakati wanafunzi wa shule hiyo iliyopo mtaa…