Stori ya Bocco itaisha kishikaji Simba?

HESHIMA aliyojijengea nahodha wa Simba, John Bocco tangu aanze kucheza Ligi Kuu Bara mwaka  2008 hadi 2024, inawafanya mashabiki kuyafuatilia maisha yake na kutaka kujua ukimya wake unasababishwa na kitu gani. Kwa wachezaji wa sasa, Bocco ndiye anaongoza kwa kufunga mabao 154 katika misimu 16 aliyocheza, ukiachana na mastaa wa zamani kama Mohamed Hussein ‘Mmachinga’…

Read More

CCM Simiyu yakemea wajawazito kudaiwa fedha huduma za afya

Na Samwel Mwanga, Itilima MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohammed amehaidi kulivalia njuga suala la baadhi ya wahudumu wa Afya katika Wilaya ya Itilima mkoani humo wanaodaiwa kuwatoza fedha wanawake wajawazito ili waweze kupata kadi ya mahudhurio yao ya kiliniki. Pia, amesema Sera ya Taifa ya Afya inataka huduma za afya…

Read More

Mgunda azungumzia ishu ya kumrithi Benchikha

WAKATI Juma Mgunda akihusishwa na mipango ya kurudi kuifundisha Simba kutokana na kuondoka kwa Abdelhak Benchikha, kocha huyo maarufu kama ‘Guardiola Mnene’ amesema hata yeye anasikia tu kuhusu jambo hilo, lakini kama lipo kweli yeye atakuwa tayari kufanya kazi. Simba inatarajiwa kutangaza kuachana rasmi na kocha Mbelgiji mwenye asili ya Algeria, Abdelhak Benchikha, ambaye taarifa…

Read More

Profesa Mkenda awakingia kifua wanaume Rombo kwa ulevi

Dar es Salaam. Mwaka 2015 iliripotiwa wanawake wilayani Rombo kulalamika kwenda nchi jirani ya Kenya kukodi wanaume kupata unyumba, baada ya waume wao kuishiwa nguvu kwa sababu ya ulevi uliopindukia. Taarifa hiyo ilitangazwa na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo, Lembris Mchome. Mwananchi  mwaka 2023 liliripoti habari kuwa wanaume wanaoishi pembezoni mwa Mto Mlembea, wilayani Rombo…

Read More

DKT. BITEKO ASISITIZA UMUHIMU WA ELIMU USALAMA MAHALI PA KAZI

*📌Aipongeza OSHA kuboresha utendaji* *📌Asema ufasinisi sio kuwindana, kutozana faini* *📌Ahimiza hifadi ya mazingira kukabili mabadiliko ya tabia nchi* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko mewataka waajiri kwa kushirikiana na wadau wanaendelea kuboresha mazingira ya kazi ili kuongeza usalama mahala pa kazi na kuwawezesha watumishi kufanya kazi katika mazingira rafiki…

Read More

Thank You! Ndoa ya Benchikha na Simba yatamatika

KLABU ya Simba muda wowote kuanzia sasa itatangaza kuachana na aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo Mualgeria, Abdelhak Benchikha ikiwa ni siku moja tangu atwae Kombe la Muungano lililohitimishwa jana visiwani Zanzibar. Simba ilitwaa taji hilo baada ya kuifunga Azam FC bao 1-0, lililofungwa na kiungo wa kikosi hicho, Babacar Sarr katika dakika ya 77…

Read More

Sababu chanjo ya HPV kupewa wasichana wadogo

Dar es Salaam. Wizara ya Afya imesema hadi kufikia jana, Aprili 27 wasichana zaidi ya milioni 4 wenye umri wa miaka 9 hadi 14 wamechanjwa chanjo ya kukinga saratani ya mlango wa kizazi ( ‘HPV Vaccine’) Tanzania bara na visiwani. Chanjo hiyo iliyotarajiwa kuwafikia wasichana 5,028,357 waliopo katika mikoa 31 na halmashauri 195 Tanzania bara…

Read More

NGORONGORO YAZINDUA ZOEZI LA UPIGAJI KURA KUWANIA TUZO YA KIVUTIO BORA CHA UTALII BARANI AFRIKA.

 Na Mwandishi wetu, Arusha. Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imezindua zoezi  la upigaji kura kuwania tuzo ya kivutio bora cha utalii barani Afrika kwa mwaka 2024 katika hafla iliyofanyika ukumbi wa Jengo la Ngorongoro Jijini Arusha. Akizindua kampeni hiyo ya upigaji kura kaimu kamishna wa Uhifadhi NCAA Victoria Shayo amesema zoezi hilo litachukua siku…

Read More