Kikwete awataja Wachaga vinara wa kujituma

Rombo. Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesema iwapo Watanzania wangekuwa na ari ya kujituma kama wanavyofanya Wachaga, nchi ingekuwa mbali kwa maendeleo. Kikwete ametoa sifa hizo kwa Wachaga, huku akiyahusisha baadhi ya makundi ya watu nchini, ambayo hata kulima kwa ajili ya mlo wao wanalazimika kusukumwa. Kikwete ametoa kauli hiyo leo Jumatatu, Desemba 23, 2024 alipowaongoza…

Read More

Ajira walioishia darasa la saba zaondolewa JWTZ

Dodoma. Serikali ya Tanzania imeaondoa utaratibu wa kuandikisha ajira kwa vijana wanaohitimu elimu ya darasa la saba kwenye Jeshi la Ulinzi wa Wananchi Tanzania (JWTZ). Hayo yamesemwa leo Jumatatu Mei 20,2024 na Naibu wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Godfrey Pinda kwa niaba ya Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, alipokuwa akijibu…

Read More

Beki wa Simba awindwa Mashujaa

UONGOZI wa maafande wa Mashujaa uko katika harakati za kukisuka kikosi kwa ajili ya msimu ujao, ambapo tayari mabosi wa timu hiyo wameanza harakati za kumuwinda beki wa kati wa Simba, Hussein Kazi anayemaliza mkataba wake. Kazi aliyejiunga na timu hiyo Julai 20, 2023 akitokea Geita Gold, ameshindwa kupenya katika kikosi cha kwanza mbele ya…

Read More

MTU WA MPIRA: Hili la Lawi ni kituko kingine

KUNA vitu Tanzania vinachekesha sana. Ni kama hili sakata la mchezaji Lameck Lawi, Simba na Coastal Union. Ni kichekesho. Kwa mara ya kwanza nimeona duniani timu inatangaza kuwa imemnunua mchezaji fulani halafu wale waliomuuza wanakataa. Yaani, Simba inasema imemnunua Lawi kutoka Coastal Union ya Tanga. Saa chache baadaye Wagosi wa Kaya wanasema hawajamalizana na Simba….

Read More

M23 waiponza Rwanda, Uingereza yaisitishia misaada

Kigali. Rwanda imekuwa ikituhumiwa na Serikali ya Rais Felix Tshisekedi wa DRC na Umoja wa Mataifa (UN) kuwafadhili waasi hao, hata hivyo, Rais Paul Kagame kupitia mahojiano yake na CNN mwezi uliopita alikanusha kulifadhili kundi hilo. Pia, Rais Kagame alipoulizwa juu ya uwepo wa askari wa Jeshi la Ulinzi la Rwanda (RDF) alidai hana taarifa…

Read More

Trump atoa kauli mgogoro wa Rwanda, DR Congo

Dar es Salaam. Rais wa Marekani, Donald Trump amesema mgogoro kati ya Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) “ni tatizo kubwa sana.” Trump amebainisha hilo Alhamis Januari 30, 2025 akijibu swali la mwandishi aliyemuuliza kuhusu kinachoendelea baina ya Rwanda na DRC, wakati wa mkutano na waandishi wa habari kuhusu ajali ya ndege iliyotokea…

Read More

AFRIKA IUNGANE KUKABILI MABADILIKO YA TABIANCHI

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Prof. Peter Msoffe akifungua Mkutano wa Kundi la Majadiliano la Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN) kwa niaba ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni jijini Dar es Salaam leo Agosti 07, 2025. Mwenyekiti wa Kundi…

Read More

Sababu mazoezi kuwa muhimu kwa mjamzito

Mmoja wa wakimbiaji wa Marathon aliuliza kama ni salama kushiriki Marathon akiwa katika ujauzito muhula wa kwanza. Kwa kifupi, mazoezi mepesi hayana madhara kwa ujauzito katika hatua za awali yaani katika chini ya miezi mitatu au muhula wa kwanza. Kuna ushahidi wa kitafiti kuwa mjamzito anayefanya mazoezi, ana uwezekano mdogo kupata matatizo ya uzazi wakati…

Read More