Simba yampandia dau beki wa mpira

UKISIKIA haishi hadi iishe ndio hii. Baada ya kumkosa katika dirisha dogo la usajili la msimu huu, mabosi wa Simba wameamua kumkomalia beki wa kati wa Coastal Union, Lameck Lawi anayetajwa pia kuwindwa na Ihefu kwa kumpandia dau ili kumnasa katika dirisha lijalo. Katika dirisha dogo lililopita, Lawi alihusishwa na Simba kwenda kusaidiana na beki…

Read More

Staa wa Pamba Jiji hatihati Championship

WAKATI pazia la Ligi ya Championship likifungwa rasmi leo, kiungo mshambuliaji na kinara wa mabao wa Pamba Jiji, Haruna Chanongo huenda akakosa mchezo wa mwisho wa ligi hiyo dhidi ya Mbuni FC kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya nyama za paja. Chanongo aliyewahi kuwika Simba, Mtibwa Sugar na Ruvu Shooting, ndiye kinara wa mabao wa…

Read More

Tchakei arejesha mzuka Ihefu | Mwanaspoti

NYOTA wa Ihefu, Marouf Tchakei ameanza mazoezi mepesi na timu hiyo baada ya kukosekana kwa takriban wiki tatu kutokana na kusumbuliwa na majeraha ya kifundo cha mguu aliyoyapata katika mchezo wa 32 bora Kombe la Shirikisho dhidi ya KMC. Tchakei aliumia Aprili 6, mwaka huu, wakati Ihefu ilipoifunga KMC mabao 3-0, Uwanja wa Azam Complex…

Read More

BMH YAKUTANA NA MABALOZI – Mzalendo

Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imefanya kikao na mabalozi wanaowakilisha Tanzania katika Nchi za Afrika Mashariki, Afrika ya Kati na Astarasia kwa lengo la huduma zake zijulikane katika nchi hizo. Balozi. Said Shaib Mussa, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, ambaye ameakifungua kikao hicho, amewapongeza mabalozi kwa kuridhia…

Read More

Uzembe unavyochangia ubakaji, ulawiti kwa watoto

Iringa. Limekuwa kama jambo la kawaida kusikia watoto wakibakwa au kulawitiwa. Hata pale zinapotolewa habari za watoto kufanyiwa ukatili huo, kwa kuwa jamii imezoea kusikia hayo mara kwa mara, huchukulia poa jambo hilo. Wakati jamii ikizoea taarifa hizo, hali inazidi kuwa mbaya kwa watoto. Matukio ya ubakaji na ulawiti yanaendelea kuripotiwa kila uchwao, huku wa…

Read More

Food vendors in Zanzibar equipped training and tools of trade courtesy of Coca-Cola Kwanza in partnership with Oryx

  A group of more than 1,400 women in Unguja and Pemba have graduated from an economic inclusion programme, called Mwanamke Shujaa, supported by Coca-Cola Kwanza. Participants received training and mentorship, supported by the Zanzibar Economic Empowerment Agency (ZEEA), as well as tools of the trade, including a gas stove, gas cylinder, coolers, kitchen clothing…

Read More

Ishu ya Chama kwenda Yanga iko hivi

Kiungo wa Simba Clatous Chama anayemaliza mkataba mwishoni mwa msimu huu ametajwa kuhusisha na Yanga, zikiwa zimebaki wiki chache kabla msimu haujamalizika. Mkataba wa Chama na Simba unafikia mwisho mara baada ya msimu huu kumalizika, na inaelezwa kuwa Simba bado haijafanya maamuzi ya mwisho kama itamuongeza mkataba mpya au vinginevyo huku yeye mwenyewe akiendelea kupiga…

Read More

Lomalisa kazini kwake kuna kazi

WAKATI Yanga ikionekana kufanya vizuri na kusalia kileleni hadi sasa, lakin beki wa kushoto wa timu hiyo, Joyce Lomalisa naye kibarua chake kipo hatarini. Yanga iliyokuwa uwanjani jana jioni jijini Dar es Salaam kuvaana na Coastal Unioni ndio inayoongoza msimamo wa Ligi Kuu (kabla ya jana) ikiwa na pointi 59, ikicheza mechi 23, ikishinda 19,…

Read More