
Wami Ruvu hawana deni la Rais Samia katika kutunza vyanzo vya maji
BODI ya Maji Bonde la Wami Ruvu, imeendelea kuchua hatua stahiki katika kuhakikisha inatekeleza agizo la Makamu wa Rais, Dk. Philipo Isory Mpango kwa kupanda miti 2,000,000 kwa kila mkoa ikiwa ni mkakati wa uhifadhi wa mazingira na utunzaji wa vyanzo vya maji katika bwawa la Mindu. Anaripoti Yusuph Kayanda, Morogoro … (endelea). Akikagua…