COSATO CHUMI AKUTANA NA MKURUGENZI WA KANDA YA UN WOMEN

:::::::; Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Cosato Chumi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Masuala ya Wanawake (UN Women), Bi. Anna Mutavati, anayefanya ziara ya kikazi nchini tarehe kuanzia 18–20 Agosti 2025. Mazungumzo…

Read More

SERIKALI, EQUITY BANK WACHANGIA ELIMU KWA MADAWATI

 :::::::: Serikali wilayani Geita imezitaka taasisi mbalimbali nchini kuendelea kujitolea kusaidia sekta ya elimu kama njia ya kuchangia maendeleo ya taifa. Akizungumza wakati wa kupokea msaada wa madawati 100 yaliyotolewa na Benki ya Equity Tanzania kwa Shule ya Sekondari ya Wasichana Nyankumbu, Afisa Tarafa wa Wilaya ya Geita Moreen Komanya alisema hatua kama hiyo ni…

Read More

Moto wateketeza nyumba ya mchungaji Tabora

Tabora. Moto umezuka na kuteketeza nyumba yenye vyumba tisa ambayo anaishi mmoja kati ya wachungaji wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Tabora iliyopo Barabara ya Kilimatinde, Kata ya Cheyo, Manispaa ya Tabora. Katika ajali hiyo ya moto iliyotokea usiku wa jana Jumatano, Agosti 20, 2025, hakuna mtu aliyepoteza maisha lakini mali mbalimbali zilizokuwamo zimeteketea. Mchungaji…

Read More

Namba zaibeba Stars, hesabu za robo zikianza

KATIKA msimu huu wa mashindano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN 2024), takwimu zimeonyesha kuwa timu ya taifa la Tanzania ‘Taifa Stars’ ndio timu iliyofanya vizuri zaidi katika hatua ya makundi ambayo ilitamatika juzi, Jumanne kwa mechi mbili za kundi D. Katika mechi hizo, zilishuhudiwa Sudan na Senegal zikiungana na wenyeji, Tanzania,…

Read More

Dante mbioni kutua Kagera Sugar

BAADA ya aliyekuwa beki wa kati Andrew Vincent ‘Dante’ kuachana na KMC kutokana na mkataba kumalizika, kwa sasa yupo katika mazungumzo ya mwisho ya kujiunga na Kagera Sugar. Dante aliyeitumikia KMC kwa miaka mitano, huku akizichezea pia Yanga na Mtibwa Sugar kwa nyakati mbalimbali, anafanya mazungumzo hayo ya kujiunga na Kagera Sugar ambayo kwa msimu…

Read More

Mkandala awindwa Coastal Union | Mwanaspoti

UONGOZI wa Coastal Union uko katika mazungumzo ya kumsajili aliyekuwa nyota wa Kagera Sugar FC, Cleophace Mkandala baada ya kiungo huyo kumaliza mkataba, huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mwingine mpya wa kukichezea pia kikosi hicho. Nyota huyo wa zamani wa matajiri wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, ameamua kutafuta changamoto sehemu nyingine…

Read More

Mhesa kurejesha majeshi Mtibwa | Mwanaspoti

KIUNGO mshambuliaji, Ismail Aidan Mhesa, yupo mbioni kurejea tena ndani ya kikosi cha Mtibwa Sugar, baada ya mkataba wa miezi sita na Geita Gold inayoshiriki Ligi ya Championship kuisha, huku kukiwa hakuna mazungumzo ya kuongeza mwingine. Nyota huyo alijiunga na Geita Gold katika dirisha dogo la Januari 9, 2024, akitokea Mashujaa aliyoitumikia kwa miezi sita…

Read More

Geita: Serikali, Equity Bank Wachangia Elimu kwa Madawati

Serikali wilayani Geita imezitaka taasisi mbalimbali nchini kuendelea kujitolea kusaidia sekta ya elimu kama njia ya kuchangia maendeleo ya taifa. Akizungumza wakati wa kupokea msaada wa madawati 100 yaliyotolewa na Benki ya Equity Tanzania kwa Shule ya Sekondari ya Wasichana Nyankumbu, Afisa Tarafa wa Wilaya ya Geita Moreen Komanya alisema hatua kama hiyo ni muhimu…

Read More