
COSATO CHUMI AKUTANA NA MKURUGENZI WA KANDA YA UN WOMEN
:::::::; Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Cosato Chumi amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Masuala ya Wanawake (UN Women), Bi. Anna Mutavati, anayefanya ziara ya kikazi nchini tarehe kuanzia 18–20 Agosti 2025. Mazungumzo…