Waziri Gwajima ahimiza jamii kubadili mitazamo, kuvunja vikwazo
Arusha. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk Dorothy Gwajima, amesisitiza umuhimu wa jamii kubadili mitazamo na kuvunja vikwazo vinavyokwamisha usawa wa kijinsia na ujumuishwaji wa watu wenye ulemavu katika jamii. Amesema Serikali itaendelea kuimarisha mifumo ya kisheria, kisera na kitaasisi ili kuhakikisha hakuna mwananchi anayeachwa nyuma katika safari ya maendeleo….