MAGAMBA FOREST WALKATHON AND ADVENTURE SEASON III KUFANYIKA DESEMBA 17 HADI 20 MWAKA HUU

Na Oscar Assenga, LUSHOTO. MATEMBEZI Maalumu ndani ya Hifadhi ya Misitu ya Mazingira Asilia Magamba (Magamba Forest Walkathon and Andventure Season 111) yenye lengo la kutangaza na kuhamasisha utalii zinatarajiwa kufanyika Desemba 17 -20 katika mji wa Lushoto mkoani Tanga huku maandalizi yakielezwa kukamilika kwa asilimia 85. Akizungumza na Mtandao huo Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi…

Read More

Mageuzi ya mifumo CRDB yanavyofungua fursa mpya

Dar es Salaam. Mageuzi ya mfumo mkuu wa kibenki ya CRDB yametajwa kuwa hatua kubwa ya kimkakati inayoonesha ukomavu katika sekta ya fedha nchini. Kauli hiyo imetolewa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, wakati akimpongeza Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Abdulmajid Nsekela, kuhusu mageuzi ya mfumo huo, akisema yanaenda kuongeza ufanisi na…

Read More

Chadema yaita Kamati Kuu ya dharura kujadili uchaguzi

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu (CC), kujadili yaliyotokea katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa ya chama hicho, iliyotolewa na John Mrema, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa chama hicho, imesema kikao…

Read More

Saliboko ashika nafasi ya 71 Olimpiki

TANZANIA imepata pigo lingine katika Michezo ya Olimpiki ya Paris inayofanyika Ufaransa baada ya muogeleaji Collins Saliboko kushindwa kufuzu hatua inayofuata kwenye mashindano ya mita 100 freestyle, baada ya leo Jumanne Julai 30, 2024 kukamata nafasi ya 71 kati ya waogeleaji 79 alioshindana nao. Kabla ya hapo, jana Jumatatu Julai 29, 2024, mchezaji wa judo…

Read More

Ukomo michango wanafunzi kidato cha tano 80,000

SERIKALI imesema ukomo wa michango kwa wanafunzi wanaojiunga kidato cha tano katika shule za sekondari za serikali ni Sh 80,000 kwa shule za bweni na Sh 50,000 kwa shule za kutwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yamebainishwa leo Ijumaa na Naibu Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za…

Read More

Vita nchini Kongo yaongeza mzozo wa afya ya akili – DW – 16.10.2024

Makundi ya misaada yanasema idadi ya watu wanaohitaji huduma za afya imeongezeka mno wakati mapigano nayo yakishika kasi. Wengi wamekata tamaa, kiasi cha kutamani kujiua, wakidhani hiyo ndio namna ya kujipumzisha dhidi ya madhila yanayowakabili.  Nelly Shukuru, mwenye miaka 51, aliyeyakimbia makazi yake kutokana na mapigano, alijikuta njia panda, hata akatamani kujiua ili kuhitimisha madhila…

Read More