Polisi yawaachia ‘Boni Yai’ na Malisa, watoa msimamo

Dar es Salaam. Aliyewahi kuwa Meya wa Ubungo, Jacob Boniface, maarufu Boni Yai pamoja na Mwanaharakati, Godlisen Malisa wameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es salaam baada ya kushikiliwa kwa siku tatu kwa tuhuma za uchochezi. Tuhuma za uchochezi zinazowakabili wawili hao ni kuchapisha taarifa kwenye mitandao ya kijamii kuwa…

Read More

Matumizi ya rada yaokoa wachimbaji migodini

Arusha. Katika kuelimisha wananchi na washiriki wa maonyesho ya usalama na afya mahali pa kazi Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeleta vifaa mbalimbali ili kutoa fursa kwa washiriki hao kujifunza teknolojia za kisasa za uokoaji. Hayo yamebainishwa leo Jumamosi, Aprili 27, 2024 na Meneja Usalama kutoka GGML, Isack Senya wakati akizungumza na waandishi…

Read More

TARURA:PAIPU KALAVATI ZASAMBAZWA KURUDISHA MAWASILIANO BARABARA KILIMANJARO

Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoa wa Kilimanjaro wamenunua na kusambaza paipu kalavati kwaajili ya kurudisha mawasiliano kwenye madaraja yaliyokatika wakati wa mafuriko kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha nchini. Meneja wa TARURA mkoa wa Kilimanjaro Mhandisi Nicholas Francis amesema tayari wamepokea fedha za dharura takriban milioni 477 kwaajili ya…

Read More

Mhagama: Changamkieni fursa za uwekezaji nchini

Na Mwandihi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama ametoa shime kwa Baraza la Uwekezaji wa Wananchi Kiuchumi kwa kushirikiana na Sekta Binafsi na wadau mbalimbali kutambua mawanda makubwa ya uwekezaji yaliyo katika nchini. Kauli hiyo ameitoa wakati akizungumza katika Kongamano la Nne…

Read More

Dk Biteko atoa maagizo kilio cha kodi, tozo shule binafsi

Dar es Salaam. Kufuatia kilio cha utiriri wa tozo kwa shule binafsi nchini, Serikali imeagiza wizara tano kukutana na Chama cha Wamiliki wa Shule Binafsi Tanzania (Tapie) kutafutia ufumbuzi kero zinazolalamikiwa. Serikali imetoa tamko hili ukiwa ni mwezi mmoja kupita tangu gazeti hili kuandika kilio cha wadau hao kwenye kodi wakidai zipo takribani 25 zinazowanyima…

Read More

Mpina ‘anavyobanana’ na CCM | Mwananchi

Bariadi. Kauli ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Shemsa Mohammed ya kumtaka Mbunge wa Kisesa Wilaya ya Meatu mkoani humo, Luhaga Mpina kuacha siasa alizoziita za ‘majitaka’ imeendelea kukoleza msuguano kati ya mbunge huyo na chama chake. Mpina amekuwa kwenye msuguano na uongozi wa chama hicho mkoani Simiyu, kiasi cha kuitwa kwenye Kamati ya…

Read More

Kurugenzi waikimbia Moro Kids ‘playoff’ First League

Morogoro. Mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya mtoano (play off) baina ya Moro Kids ya Morogoro na Kurugenzi FC ya Simiyu umeshindwa kufanyika baada ya Kurugenzi kushindwa kufika katika mchezo uliopangwa kuchezwa leo, Aprili 27 kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro. Mchezo huo maalumu wa kutafuta timu itakayocheza First League maarufu Ligi Daraja…

Read More

Msajili wa Hazina akutana na Bosi mpya wa Bodi ya Mikopo

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Msajili wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amekutana na kuzungumza na Menejimenti ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) iliyoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wake Dk. Bill Kiwia. Kikao hicho kilifanyika katika Ofisi za Msajili wa Hazina Aprili 25, 2024 jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kujitambulisha kwa…

Read More

Waokota chupa za plastiki wakatiwa bima ya afya

Dar es Salaam. Wazalishaji wa vinywaji na watengenezaji wa bidhaa za plastiki nchini, wamewapatia waokota chupa za plastiki bima ya afya ya jamii (CHF) na viakisi mwanga vyenye namba kutokana na kuwa na mazingira hatarishi ya ufanyaji kazi zao. Katika kutambua mchango wa waokota chupa   hao wazalishaji wa  vinywaji nchini kwa kushirikiana na taasisi zinazojihusisha…

Read More

ALAT yawanyooshea kidole wabunge kwakutotetea maslahi ya madiwani

*Yataka uchaguzi wa madiwani utenganishwe ili wabunge waone ilivyo ngumu kupata kura Na Safina Sarwatt, Zanzibar BAADHI ya Wajumbe wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) wamewatupia lawama wabunge kwa kile kilichodaiwa kushindwa kuwatetea madiwani kuongezewa posho kutokana na mazingira magumu ya kazi na kupanda kwa gharama za maisha. Wajumbe hao wametaka kufabyika marekebisho…

Read More